Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuseme Luc Eymael alivyosema Mashabiki wa Yanga ni manyani mnabweka kama mbwa ni kweli nyie ni manyani?Hilo tusi linapunguza nguvu ya mashabiki wa Simba wenye akili zao na kubakiza hao hao mnaowahonga pesa ili wachague viongozi wajinga wajinga.
Watu wengi wa maana watajitoa kushabikia timu hii kwa kuwa jina mbumbumbu linadhalilisha sana.
Unahisi mleta uzi ni Yanga? Pitia upya mawazo yakoTuseme Luc Eymael alivyosema Mashabiki wa Yanga ni manyani mnabweka kama mbwa ni kweli nyie ni manyani?
Au , Haj Manara alivyosema Yanga wenye akili ni wawili tu yaani Mzee sande manara na Kikwete ni kweli kwamba Yanga wote hawana akili?
Hayo ni mawazo yake na mitazamo yake , hivyo siyo lazima na wewe uyachukue jinsi yalivyo na kuyaleta humu jf
Okey ,Okey , nimemuelewa mkuu.Unahisi mleta uzi ni Yanga? Pitia upya mawazo yako
Dah! Mkuu sikukupata vizuri mwanzoni , samahani.Hilo tusi linapunguza nguvu ya mashabiki wa Simba wenye akili zao na kubakiza hao hao mnaowahonga pesa ili wachague viongozi wajinga wajinga.
Watu wengi wa maana watajitoa kushabikia timu hii kwa kuwa jina mbumbumbu linadhalilisha sana.
Kama mwekezaji dewji alikua anasisitiza wajumbe wa upande wake wajiuzulu-wamejiuzuli ghafla tena anawarudisha ndo maana kuna wengine wamemgomea wameona ni ujingaDah! Mkuu sikukupata vizuri mwanzoni , samahani.
Usingemshtua maana hapo kathibitisha kauli ya rage na kadugudaUnahisi mleta uzi ni Yanga? Pitia upya mawazo yako
Mashabiki wamehusikaje, hukumsikia naibu waziri wa michezo akiongelea tatizo la Simba na kusema viongozi na wanachama eatatuentatizo vinginevyo serikali itaingilia.Kama mwekezaji dewji alikua anasisitiza wajumbe wa upande wake wajiuzulu-wamejiuzuli ghafla tena anawarudisha ndo maana kuna wengine wamemgomea wameona ni ujinga
Kwa alichofanya dewji ni ishara simba inaongozwa kiujanja na amewadharau na ataendelea kuwaona mashabiki wa simba ni wajinga
+ MBUMBUMBUKama mwekezaji dewji alikua anasisitiza wajumbe wa upande wake wajiuzulu-wamejiuzuli ghafla tena anawarudisha ndo maana kuna wengine wamemgomea wameona ni ujinga
Kwa alichofanya dewji ni ishara simba inaongozwa kiujanja na amewadharau na ataendelea kuwaona mashabiki wa simba ni wajinga
Lakini linasababisha,(Lita), mfikirie nje ya sanduku haiwezekani watu wachache wawanyime furaha yaani akili zilezile zilizo tengeneza tatizo Kwa akili zilezile zitatue changamoto, (tatizo),?, Halafu kiukweli nyie ni mbumbumbu watu wanaendesha club kama familia zao?, Mko kimyaa! mna ahirisha kufikiri kweli hapa lazima tuwakomaze akili Kwa kuwaita mbumbumbuHilo tusi linapunguza nguvu ya mashabiki wa Simba wenye akili zao na kubakiza hao hao mnaowahonga pesa ili wachague viongozi wajinga wajinga.
Watu wengi wa maana watajitoa kushabikia timu hii kwa kuwa jina mbumbumbu linadhalilisha sana.
Uko sahihi binafsi naona tatizo liko palepale.akili zilezile zilizo tengeneza tatizo Kwa akili zilezile zitatue changamoto, (tatizo)