Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi shule zimefungwa? Maana nasikia smell ya Sekondari hapa.Kama.kuna mwl wa kiingerreza atoe somo hukuu maana kesho kuna watu wanalia
Vyema wajue hata kuwatukana waachezaji wao kizunguuu
Huyu si mwanafunzi ila ni chura lile chura hasa, linakuwa hivi likishiba wadudu.Hivi shule zimefungwa? Maana nasikia smell ya Sekondari hapa.
Yani unashangaa Ayubu ni kutoka Morocco. Morocco na Kingereza wapi na wapi. 🤣 🤣 🤣Huyu si mwanafunzi ila ni chura lile chura hasa, linakuwa hivi likishiba wadudu.
Tukisema timu lenu ni la kichawi mnabisha. Uto wanga wengi.
Kwa namna timu izi mbili zilivyo hakuna shaka yoyote uwanja umesha inama kabla ya mechi.Tukisema timu lenu ni la kichawi mnabisha. Uto wanga wengi.
Lile litimu la Hamisa Mobetto FC huwa halijiamini kabisa mbele ya Simba, linaishia kukimbilia kufanya mambo meusi.Mechi zao zoote wanaingilia mbele. Ila wakicheza tuu na simba wanaruka ukuta kinyumenyume sijui ndio tuuone mwiko au ulozi tuu?
Mkuu chura huwa halifikiri linakoroma.Yani unashangaa Ayubu ni kutoka Morocco. Morocco na Kingereza wapi na wapi. 🤣 🤣 🤣
Hivi chura analiwa?Mkuu chura huwa halifikiri linakoroma.
Na maziwa ya mgando, ila kuna wenye sumu ukimla unakoroma.Hivi chura analiwa?
Dah!!! Nimepita hapa jangwani naelekea Magomeni, ngoja nishuke niingie kwenye bwawa la jangwani nipate Chura mmoja 🤣 🤣 🤣 🤣. Hawa wa jangwani hawana sumu?Na maziwa ya mgando, ila kuna wenye sumu ukimla unakoroma.
Sijajua mkuu, mtafute manara, yeye alipita hapo akaamia kabisa, anajilia tu.Dah!!! Nimepita hapa jangwani naelekea Magomeni, ngoja nishuke niingie kwenye bwawa la jangwani nipate Chura mmoja 🤣 🤣 🤣 🤣. Hawa wa jangwani hawana sumu?
Au nimtafute muuza duka atanisaidia?Sijajua mkuu, mtafute manara, yeye alipita hapo akaamia kabisa, anajilia tu.
Tangu 2007 uko humu bado unaandika ujinga ujinga tu, unawaabisha hata nyumamwiko wenzako.Kama.kuna mwl wa kiingerreza atoe somo hukuu maana kesho kuna watu wanalia
Vyema wajue hata kuwatukana waachezaji wao kizunguuu
Halafu yuko JF tangu 2007, au atakuwa amekunywa maji ya chooni maana mada zake kama punguani fulani hiviHivi shule zimefungwa? Maana nasikia smell ya Sekondari hapa.
Wewe ulivyocheza na Raja ulokula 3 nunge uliingiaje na Bus lenu?Mechi zao zoote wanaingilia mbele. Ila wakicheza tuu na simba wanaruka ukuta kinyumenyume sijui ndio tuuone mwiko au ulozi tuu?