Mashabiki wa simba mkiwaona kina Ayubu vipi kiingereza kinapandaa ama british inawahusu?

Mashabiki wa simba mkiwaona kina Ayubu vipi kiingereza kinapandaa ama british inawahusu?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kama.kuna mwalimu wa kiingereza atoe somo hukuu maana kesho kuna watu wanalia. Vyema wajue hata kuwatukana waachezaji wao kizunguuu
 
Kama.kuna mwl wa kiingerreza atoe somo hukuu maana kesho kuna watu wanalia

Vyema wajue hata kuwatukana waachezaji wao kizunguuu
Hivi shule zimefungwa? Maana nasikia smell ya Sekondari hapa.
 
Tukisema timu lenu ni la kichawi mnabisha. Uto wanga wengi.
Kwa namna timu izi mbili zilivyo hakuna shaka yoyote uwanja umesha inama kabla ya mechi.

Kuna mambo mawili lazima yafanyike, maombi kwa Mungu mwenye Mbingu na Nchi awe upande wako au ulozi ulio Shiba kwa mpinzani wako.
Kama Kila kitu kitabaki kama kilivyo bila Nguvu yoyote kuingilia, Kuna balaa kubwa mechi ya kesho.
 
Na maziwa ya mgando, ila kuna wenye sumu ukimla unakoroma.
Dah!!! Nimepita hapa jangwani naelekea Magomeni, ngoja nishuke niingie kwenye bwawa la jangwani nipate Chura mmoja 🤣 🤣 🤣 🤣. Hawa wa jangwani hawana sumu?
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Dah!!! Nimepita hapa jangwani naelekea Magomeni, ngoja nishuke niingie kwenye bwawa la jangwani nipate Chura mmoja 🤣 🤣 🤣 🤣. Hawa wa jangwani hawana sumu?
Sijajua mkuu, mtafute manara, yeye alipita hapo akaamia kabisa, anajilia tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240807-122735_Chrome.jpg
    Screenshot_20240807-122735_Chrome.jpg
    343.7 KB · Views: 1
Lile litimu la Hamisa Mobetto FC huwa halijiamini kabisa mbele ya Simba, linaishia kukimbilia kufanya mambo meusi.
Bora nbc kuliko simba caf mnarudikinyumenyume pambaafu

Haoo azam. Wakawaiga
 

Attachments

  • Screenshot_20240807-122554_YouTube.jpg
    Screenshot_20240807-122554_YouTube.jpg
    373.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240807-122559_YouTube.jpg
    Screenshot_20240807-122559_YouTube.jpg
    382.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240807-122605_YouTube.jpg
    Screenshot_20240807-122605_YouTube.jpg
    382.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240807-122607_YouTube.jpg
    Screenshot_20240807-122607_YouTube.jpg
    398.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240807-122613_YouTube.jpg
    Screenshot_20240807-122613_YouTube.jpg
    395.2 KB · Views: 2
Mechi zao zoote wanaingilia mbele. Ila wakicheza tuu na simba wanaruka ukuta kinyumenyume sijui ndio tuuone mwiko au ulozi tuu?
HAPAAA MLIINGIAAA MBELEEE ???MKINYA WENGINE WANAKOJOAA

Caf hioo mlituaibisha sanaa
 

Attachments

  • Screenshot_20240807-122322_YouTube.jpg
    Screenshot_20240807-122322_YouTube.jpg
    414.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240807-122328_YouTube.jpg
    Screenshot_20240807-122328_YouTube.jpg
    412.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240807-122345_YouTube.jpg
    Screenshot_20240807-122345_YouTube.jpg
    414.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240807-122353_YouTube.jpg
    Screenshot_20240807-122353_YouTube.jpg
    287 KB · Views: 2
Back
Top Bottom