Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 781
- 2,305
Binafsi naamini msimu ujao ana nafasi ya kuongeza thamani yake zaidi sababu sasa hivi agents wengi wanamtazama baada ya goli bora kuwaamsha.
Kama ni kuuzwa auzwe msimu ujao, anaweza leta faida uwanjani katika huo msimu na kifedha ofa zikawa zaidi ya sasa. Ila kama dau zitaenda beyond expectations kwa kiwango cha kushindwa kusubiri, ni sawa pia.
Nachoona Okra atakuja kuwa kinara wa timuSakho ni Icon ya Club kwa sasa kama ilivyo kwa Mo salah pale Liverpool, Benzema pale Madrid, Mbappe pale PSG.. kwahiyo viongozi wawe makini sana unapouza icon ya club.
Icon ya club inasaidia pia kuleta hamasa kwa mashabiki sababu kwa sasa Sakho ndiyo kipenzi cha wana simba kama ilivyokuwa chama msimu ule.
Jukwaa lenyewe hawezi kucheza naloAuzwe haraka kabla ajapata pancha kwanza keshaonyesha ni mtu wa majeraha mara kwa mara alafu anapenda kucheza na jukwaa pasipo na sababu.
Unaonajee ushindi akasajiliwa pale msimbazMchezaji kuuzwa au kununuliwa haiko ndani ya uwezo wa mashabiki. Timu inayojiendesha kibiashara hununua wachezaji na kuuza wachezaji kwa wakati sahihi. Simba inasajili wachezaji wenye umri mdogo kwa kuzingatia hili na kuzingatia pia malengo ya timu.
Utopolo wao wanasajili kwa maoni ya washabiki. Wamesajili wachezaji 4 wa kigeni na hawajauza hata mchezaji mmoja. Na hata wachezaji waliowasajili hakuna hata mmoja atakayeuzika baada ya msimu mmoja kuisha.
Wamewacha kina Ushindinkwa kuwa tu mashabiki wamepiga kelele ila kiuhalisia Ushindi ni mchezaji mzuri sana.
Utopolo wamemsajili Morison.Team itakua ya hovyo kumsajili mchezaji Kwa ajili ya goli bora tena moja Na goli lilefungwa Kwa bahati tuu
Ushindi akisajiliwa Simba mwakani utonwataanza kumtamani kama ilivyokuwa kwa Niyonzima na MorissonUnaonajee ushindi akasajiliwa pale msimbaz
Konde boy karudi tusubiri makeke yakeKwanza lazima mjue sisi wapenzi tunaona pengo la Luis halijawahi kuzibwa.Huyu Sakho angalau alifanya timu iwaweke roho juu mabeki wa timu pinzani.Watu wasumbufu kwa mabeki kama Morrison mmepata?
Vinginevyo itakuwa ni ujinga ule ule mliofanya mwaka jana.
Je mnadhani Yanga hawajapewa ofa kubwa kwa Mayele?
Kwa nini hawajamuuza?Tuacheni tamaa ya pesa