Mashabiki wa Simba Sc hawapaswi kuwa na matarajio makubwa sana Timu yao kuifunga Al Ahly Tripoli

Mashabiki wa Simba Sc hawapaswi kuwa na matarajio makubwa sana Timu yao kuifunga Al Ahly Tripoli

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Naweza kusema kwa sasa klabu ya Simba SC hususani mashabiki wa klabu hiyo hawapaswi kuwa na matarajio makubwa kwa timu yao kupata matokeo chana mbele ya Al Ahly Tripoli
ya Libya katika Kombe la Shirikisho Afrika.

Ukitazama kikosi cha Simba kwa sasa kina wachezaji wapya wengi na kocha pia ni mpya kwahiyo kipo katika matengenezo ya kuboresha kikosi chao na kuwa bora zaidi. Lakini pia Al Ahly Tripoli wana wachezaji ambao wanaCV kubwa sana kuliko Simba na waliojaa uzoefu mkubwa katika michuano hii.

Kwahiyo kikubwa Simba wacheze kwa tahadhari sana kwenye mechi zao zote yani ya nyumbani na ugenini. Nafahamu pia mpira wa miguu unamatokeo yake lakini kwa hapa Simba waonyeshe walicho nacho kama ikitokea kufuzu hatua inafuata basi ni jambo zuri kwao na litawapa nguvu zaidi na kufanya vyema.

Soma Pia:
Mechi itakuwa Jumapili 15 Septemba, 2024 Simba SC vs Al Ahly Tripoli. Mtanange huu utapigwa kuanzia saa 2:00 usiku
 
Naweza kusema kwa sasa klabu ya Simba SC hususani mashabiki wa klabu hiyo hawapaswi kuwa na matarajio makubwa kwa timu yao kupata matokeo chana mbele ya Al Ahly Tripoli
ya Libya katika Kombe la Shirikisho Afrika.

Ukitazama kikosi cha Simba kwa sasa kina wachezaji wapya wengi na kocha pia ni mpya kwahiyo kipo katika matengenezo ya kuboresha kikosi chao na kuwa bora zaidi. Lakini pia Al Ahly Tripoli wana wachezaji ambao wanaCV kubwa sana kuliko Simba na waliojaa uzoefu mkubwa katika michuano hii.

Kwahiyo kikubwa Simba wacheze kwa tahadhari sana kwenye mechi zao zote yani ya nyumbani na ugenini. Nafahamu pia mpira wa miguu unamatokeo yake lakini kwa hapa Simba waonyeshe walicho nacho kama ikitokea kufuzu hatua inafuata basi ni jambo zuri kwao na litawapa nguvu zaidi na kufanya vyema.

Soma Pia:
Mechi itakuwa Jumapili 15 Septemba, 2024 Simba SC vs Al Ahly Tripoli. Mtanange huu utapigwa kuanzia saa 2:00 usiku
Kwa hiyo tufate maneno yako ya kubeza ili tusononeke?Huna akili njema.Wewe ni kachawi kanafunzi.
 
Naweza kusema kwa sasa klabu ya Simba SC hususani mashabiki wa klabu hiyo hawapaswi kuwa na matarajio makubwa kwa timu yao kupata matokeo chana mbele ya Al Ahly Tripoli
ya Libya katika Kombe la Shirikisho Afrika.

Ukitazama kikosi cha Simba kwa sasa kina wachezaji wapya wengi na kocha pia ni mpya kwahiyo kipo katika matengenezo ya kuboresha kikosi chao na kuwa bora zaidi. Lakini pia Al Ahly Tripoli wana wachezaji ambao wanaCV kubwa sana kuliko Simba na waliojaa uzoefu mkubwa katika michuano hii.

Kwahiyo kikubwa Simba wacheze kwa tahadhari sana kwenye mechi zao zote yani ya nyumbani na ugenini. Nafahamu pia mpira wa miguu unamatokeo yake lakini kwa hapa Simba waonyeshe walicho nacho kama ikitokea kufuzu hatua inafuata basi ni jambo zuri kwao na litawapa nguvu zaidi na kufanya vyema.

Soma Pia:
Mechi itakuwa Jumapili 15 Septemba, 2024 Simba SC vs Al Ahly Tripoli. Mtanange huu utapigwa kuanzia saa 2:00 usiku
Watapigwa kama ngoma hao Mikia FC.
 
Naweza kusema kwa sasa klabu ya Simba SC hususani mashabiki wa klabu hiyo hawapaswi kuwa na matarajio makubwa kwa timu yao kupata matokeo chana mbele ya Al Ahly Tripoli
ya Libya katika Kombe la Shirikisho Afrika.

Ukitazama kikosi cha Simba kwa sasa kina wachezaji wapya wengi na kocha pia ni mpya kwahiyo kipo katika matengenezo ya kuboresha kikosi chao na kuwa bora zaidi. Lakini pia Al Ahly Tripoli wana wachezaji ambao wanaCV kubwa sana kuliko Simba na waliojaa uzoefu mkubwa katika michuano hii.

Kwahiyo kikubwa Simba wacheze kwa tahadhari sana kwenye mechi zao zote yani ya nyumbani na ugenini. Nafahamu pia mpira wa miguu unamatokeo yake lakini kwa hapa Simba waonyeshe walicho nacho kama ikitokea kufuzu hatua inafuata basi ni jambo zuri kwao na litawapa nguvu zaidi na kufanya vyema.

Soma Pia:
Mechi itakuwa Jumapili 15 Septemba, 2024 Simba SC vs Al Ahly Tripoli. Mtanange huu utapigwa kuanzia saa 2:00 usiku
Kuna baadhi ya mashabiki wao wanaoujua Mpira wanajua icho ulichokiongea na wako na tahadhali kubwa sana lakini Kuna wale wazee wa mihemko awajui Moja Wala mbili wanakwambia timu yao imekamilika Kila idara kwa sasa kukipiga na timu yoyote Ile🤣🤣🤣
 
Huko Libya pametulia kiasi fulani, hivyo hao jamaa wanacheza mpira kwa sasa! Simba wajipange haswa!
Naweza kusema kwa sasa klabu ya Simba SC hususani mashabiki wa klabu hiyo hawapaswi kuwa na matarajio makubwa kwa timu yao kupata matokeo chana mbele ya Al Ahly Tripoli
ya Libya katika Kombe la Shirikisho Afrika.

Ukitazama kikosi cha Simba kwa sasa kina wachezaji wapya wengi na kocha pia ni mpya kwahiyo kipo katika matengenezo ya kuboresha kikosi chao na kuwa bora zaidi. Lakini pia Al Ahly Tripoli wana wachezaji ambao wanaCV kubwa sana kuliko Simba na waliojaa uzoefu mkubwa katika michuano hii.

Kwahiyo kikubwa Simba wacheze kwa tahadhari sana kwenye mechi zao zote yani ya nyumbani na ugenini. Nafahamu pia mpira wa miguu unamatokeo yake lakini kwa hapa Simba waonyeshe walicho nacho kama ikitokea kufuzu hatua inafuata basi ni jambo zuri kwao na litawapa nguvu zaidi na kufanya vyema.

Soma Pia:
Mechi itakuwa Jumapili 15 Septemba, 2024 Simba SC vs Al Ahly Tripoli. Mtanange huu utapigwa kuanzia saa 2:00 usiku
 
Back
Top Bottom