Mashabiki wa Simba sc, karibuni sana kwa Mkapa mje kuiona Yanga sc inavyopata ushindi mnono dhidi ya Mallumo Galants

Mashabiki wa Simba sc, karibuni sana kwa Mkapa mje kuiona Yanga sc inavyopata ushindi mnono dhidi ya Mallumo Galants

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Nikiwa Kama shabiki mwandamizi wa Yanga sc ndani ya Jamii forum, naomba nichukue fursa/nafasi hii adhimu kuwa karibisha mashabiki wa Simba sc kuja kushuhudia yanga ikikata tiketi yake mapema yakutinga fainali.

Ball/mbungi itapigwa saa 10 jioni uwanja wa mkapa.

Hili ni suala la nchi/kitaifa na East Africa njoo Mwanasimba/mtani upoze moyo ukiwa Kama shabiki mzalendo ushangilie kwa mahaba makubwa ili taifa lako liingie fainali kimataifa.

Nawaomba wachambuzi wa mchongo (wachambuzi) mliokuwa mnalipwa ili kukikejeri yanga kimataifa, huu ni muda wenu Sasa kujisafisha kwa kutoa hamasa kwenye page zenu mashabiki wajae uwanjani maana hata mkiendelea kuiponda yanga bado itapita tu kwenda nusu, ewe mchambuzi wa mchongo ona aibu tubu Sasa maana "Yanga is unstoppable".

Karibuni sana (wana Simba) mje kupata burudani ya Football msuuze mioyo yenu baada ya maumivu makali yaliyotawala na kiu kikubwa mithiri ya msafiri aliyeishiwa maji ndani ya jangwa.
 
Nikiwa Kama shabiki mwandamizi wa Yanga sc ndani ya Jamii forum, naomba nichukue fursa/nafasi hii adhimu kuwa karibisha mashabiki wa Simba sc kuja kushuhudia yanga ikikata tiketi yake mapema yakutinga fainali.
Hawana imani madunduka fc pia hawana moyo. Hawana furaha kabisa.. Na kimdomo mdomo ndo kimekatwa kabisaaa wako hoi. Tutaendelea kuwapa dozi mpaka wapone kabisaaaa. Leo tunaliua jitu hapo kwa mkapa
 
Kwanza mkapa stadium sio shamba la bibi. Pili hii game ni 50/50. Any thing can happen.

Ushauri. Malizeni hii game hapa dsm. Mkishindwa hapa kule kwa mzee madiba mnaenda kutolewa. Huitaji kuwa na PhD kujua na kuliona hili.

Good lucky
Hayo ni maoni yako na hili ndiyo kombe lenu la mwisho lililobaki na ndiyo maana mnatumia nguvu kubwa sana kuwasifia hao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
WANANCHIIIIIII LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUONESHA ULIMWENGU KWAMBA YANGA INA UKUBWA KIASI GANI.MAKOLO
WAMEJARIBU KUIKUZA MARUMO KWA KILA NAMNA ILA LEO TUTAENDA KUWAONESHA YANGA NI NANI.
EWE MWANANCHI TEMBEA KIFUA MBELE KWANI LEO NDIO TUNAENDA KUINGIA FAINALI RASMI.
LEO MADUNDUKA YATALILIA CHOONI.
 
WANANCHIIIIIII LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUONESHA ULIMWENGU KWAMBA YANGA INA UKUBWA KIASI GANI.MAKOLO
WAMEJARIBU KUIKUZA MARUMO KWA KILA NAMNA ILA LEO TUTAENDA KUWAONESHA YANGA NI NANI.
EWE MWANANCHI TEMBEA KIFUA MBELE KWANI LEO NDIO TUNAENDA KUINGIA FAINALI RASMI.
LEO MADUNDUKA YATALILIA CHOONI.
Hawatoamini macho yao.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nikiwa Kama shabiki mwandamizi wa Yanga sc ndani ya Jamii forum, naomba nichukue fursa/nafasi hii adhimu kuwa karibisha mashabiki wa Simba sc kuja kushuhudia yanga ikikata tiketi yake mapema yakutinga fainali.

Ball/mbungi itapigwa saa 10 jioni uwanja wa mkapa (shamba la Bibi)

Hili ni suala la nchi/kitaifa na East Africa njoo Mwanasimba/mtani upoze moyo ukiwa Kama shabiki mzalendo ushangilie kwa mahaba makubwa ili taifa lako liingie fainali kimataifa.

Nawaomba wachambuzi wa mchongo (wachambuzi) mliokuwa mnalipwa ili kukikejeri yanga kimataifa, huu ni muda wenu Sasa kujisafisha kwa kutoa hamasa kwenye page zenu mashabiki wajae uwanjani maana hata mkiendelea kuiponda yanga bado itapita tu kwenda nusu, ewe mchambuzi wa mchongo ona aibu tubu Sasa maana "Yanga is unstoppable"

Karibuni sana (wana Simba) mje kupata burudani ya Football msuuze mioyo yenu baada ya maumivu makali yaliyotawala na kiu kikubwa mithiri ya msafiri aliyeishiwa maji ndani ya jangwa.
Screenshot_20230510-114454.jpg


Yangaaaaaa
 
Back
Top Bottom