Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
- π¨ππͺπππ π πππ¨π‘ππ¨.
Klabu ya Simba inaongozwa Kwa Propaganda hapo awali ilipokuwa inaingia mkataba na M-Bet, Simba hawakuweka bayana kuwa huo mkataba unathamani ya kiasi gani,
Yanga SC walipoingia Mkataba Mpya na SportPesa na walisema mkataba huo unathamani ya Billion 12. Baada ya siku Simba wakaja na drama ya kusema mkataba wao na M-Bet ni Billion 26 kama sikosei.
Na hizo Billion 26 zilikuwa hazijaandikwa kwenye hundi bali ziliandikwa kwenye jezi.
Mkutano Mkuu wa Simba SC wa msimu walisema kuwa bajeti kuu ya Msimu ujao 2023/24 ni Billion 13 ikawaimepita hiyo. Juzi Klabu ya Yanga imefanya Mkutano Mkuu na kusema kuwa Bajeti kuu ya Msimu ujao 2023/24 ni Billion 20.
Baada ya siku 1 CEO wa Simba SC Imani Kajula amesimama mbele ya umma anasema Bajeti kuu ya Simba SC msimu huu ni Billion 24 ambapo Kuna Billion 11 zimeongezeka.
Kiufupi Klabu ya Simba SC inaongozwa Kwa Propaganda na hawataki wao wazidiwe na Yanga SC!! Ndio maana Kila siku drama haziishi.
Klabu ya Simba inaongozwa Kwa Propaganda hapo awali ilipokuwa inaingia mkataba na M-Bet, Simba hawakuweka bayana kuwa huo mkataba unathamani ya kiasi gani,
Yanga SC walipoingia Mkataba Mpya na SportPesa na walisema mkataba huo unathamani ya Billion 12. Baada ya siku Simba wakaja na drama ya kusema mkataba wao na M-Bet ni Billion 26 kama sikosei.
Na hizo Billion 26 zilikuwa hazijaandikwa kwenye hundi bali ziliandikwa kwenye jezi.
Mkutano Mkuu wa Simba SC wa msimu walisema kuwa bajeti kuu ya Msimu ujao 2023/24 ni Billion 13 ikawaimepita hiyo. Juzi Klabu ya Yanga imefanya Mkutano Mkuu na kusema kuwa Bajeti kuu ya Msimu ujao 2023/24 ni Billion 20.
Baada ya siku 1 CEO wa Simba SC Imani Kajula amesimama mbele ya umma anasema Bajeti kuu ya Simba SC msimu huu ni Billion 24 ambapo Kuna Billion 11 zimeongezeka.
Kiufupi Klabu ya Simba SC inaongozwa Kwa Propaganda na hawataki wao wazidiwe na Yanga SC!! Ndio maana Kila siku drama haziishi.