Mashabiki wa Simba tukatae kukosa weledi kwa viongozi wa timu

Mashabiki wa Simba tukatae kukosa weledi kwa viongozi wa timu

Aigle

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2020
Posts
1,540
Reaction score
7,973
Mambo ya ajabu sana kwa mpira wa kitanzania haswa kwa timu za Kariakoo ila naona Yanga wamejitoa kua wasanii na kua na viongozi wapumbavu.

Timu ya SIMBA, mchezaji anapewa mkataba, pesa na kila kitu alichoomba, badala ya kuripoti kambini mchezaji anaonesha utovu wa nidhamu kwa kutokuja mahala pa kazi tena bila sababu za msingi, mchezaji anapigiwa simu hapokei, pre season yote huonekani, hata yawezekana Kocha hakujui, mana kocha anategemea uwepo na wenzako ili mtengeneze muunganiko, lakini haupo,

Sasa mambo yamekuendea kombo huko ulikokua, unarudi, na zaidi viongozo walivyo majuha wanakupokea na unakuepo kama vile hakuna kilichotokea, hii ni DHARAU kubwa sana, kwamba kuna mchezaji yuko juu ya timu na juu ya viongozi, juu ya wanachama na juu ya mashabiki WANAOJIELEWA,

Nasema mashabiki wanaojielewa sababu wengi wao wamekwazika sana na kilichotokea ama kinachoendelea na wengi wameona hakuna haja ya kwenda uwanjani sababu kuna mchezaji amewadharau na kuwakosea adabu na bado wanalipia tiketi kuona ubovu wa viongozi wa simba kuruhusu mchezaji kua na utovu wa nidhamu na kua juu ya vichwa vyao. Je hii italeta inpact gani au itaonesha taswira gani kwa mashabiki wa mpira wanaojielewa na wachezaji

Mashabiki hoyahoya ndio hawa unawaona mara "ooh kibu mkandaji karejea", mara karibu kibudenga" na official page za timu ya simba zikimkaribisha kwa BASHASHA.

Mara leo tena tunasikia Onana kauzwa, sasa unajiuliza kulikua na haja gani ya kumuita mchezaji Misri na mapicha kibao ilihali nyuma ya pazia mnakbaliana na timu nyingine kumuuza mchezaji tena hata bila yeye kuwepo, ama kweli nakubaliana na baadhi ya wadau wanaosema mashabiki wanapumbazwa sana na asilimia kubwa ndio mashabiki hoyahoya. Mara mchezaji yuko Ubelgiji, ila kwenye page ya timu utambulisho wake bado upo, usanii juu ya usanii
 
Kila MwanaSimba aliyepo UWANJANI LEO.
KAMPENI ZOMEA KIBU kwanza hatutaki Kibu atambulishwe kwa mbwembwe. Tumzomeee, ametukosea heshima, hajitambui na sasa tumemchoka hatumtaki.
ZOMEA KIBU MUDA WOTE
 
Viongozi wa Simba ni wahuni tu,kuruhusu hili ndani ya Timu Yao itakuwa ni muendelezo Kwa wachezaji wengine!

Nilitegemea Kwa Kibu iwe fundisho Kwa wahuni wote wenye tabia kama za Kibu!,Lakini naona wanaendelea kumpeti peti Kibu,muda si mrefu wachezaji wengine watafanya zaidi ya Kibu!

Kumbuka Kibu kaamua kurudi tu Hana namna lakini kiukweli Hana Mapenzi tena na Simba
 
Kibu yuko juu ya mangungu, mo, try again mpaka mashabiki wote, na leo akifunga watamshangilia tu hawana namna
 
Tarehe 8 akiwakanda , Madhambi yote tunamfutia na tunamuongezea na Salary
 
Kibu yuko juu ya mangungu, mo, try again mpaka mashabiki wote, na leo akifunga watamshangilia tu hawana namna
Aya mambo ukitulia unagundua hakuna linalo fanyika bila MO kufahamu / kuridhia.
Mta mlaumu Kibu lakini nyuma yake yupo Kiongozi mwenye Nguvu nyingi anaye ridhia yanayo fanyika.
Kumwacha mchezaji mwenye mkataba na kumsajili mchezaji mpya nilazima MO aridhie na si vinginevyo.
 
Ni ngumu mchezaji amesaini mkataba mpya halafu asijiunge na timu mazoezini akaachwa.
Kwa kifupi viongozi wa Simba walimpa KIBALI Kibu Denis kufanya yote aliyoyafanya.
Kumzomea Kibu Dennis itakuwa kumwonea, wanaotakiwa kuzomewa ni viongozi maana wamekosa.weledi.
 
Kila MwanaSimba aliyepo UWANJANI LEO.
KAMPENI ZOMEA KIBU kwanza hatutaki Kibu atambulishwe kwa mbwembwe. Tumzomeee, ametukosea heshima, hajitambui na sasa tumemchoka hatumtaki.
ZOMEA KIBU MUDA WOTE
Shida mkuu , mashabiki tunaojielewa tutakua tunazidiwa na wale hoyahoya kwenye kuzomea.
 
Viongozi wa Simba ni wahuni tu,kuruhusu hili ndani ya Timu Yao itakuwa ni muendelezo Kwa wachezaji wengine!

Nilitegemea Kwa Kibu iwe fundisho Kwa wahuni wote wenye tabia kama za Kibu!,Lakini naona wanaendelea kumpeti peti Kibu,muda si mrefu wachezaji wengine watafanya zaidi ya Kibu!

Kumbuka Kibu kaamua kurudi tu Hana namna lakini kiukweli Hana Mapenzi tena na Simba
Umeongea sentesi muhim sana. Hio ya mwisho.

HANA MAPENZI NA TIMU. KAAMUA KURUDI MANA HANA JINSI. Mchezaji wa mpira anaechezea timu kwa sababu hana jinsi, huyo hawezi kucheza kwa kujituma.
 
Mambo ya ajabu sana kwa mpira wa kitanzania haswa kwa timu za Kariakoo ila naona Yanga wamejitoa kua wasanii na kua na viongozi wapumbavu.

Timu ya SIMBA, mchezaji anapewa mkataba, pesa na kila kitu alichoomba, badala ya kuripoti kambini mchezaji anaonesha utovu wa nidhamu kwa kutokuja mahala pa kazi tena bila sababu za msingi, mchezaji anapigiwa simu hapokei, pre season yote huonekani, hata yawezekana Kocha hakujui, mana kocha anategemea uwepo na wenzako ili mtengeneze muunganiko, lakini haupo,

Sasa mambo yamekuendea kombo huko ulikokua, unarudi, na zaidi viongozo walivyo majuha wanakupokea na unakuepo kama vile hakuna kilichotokea, hii ni DHARAU kubwa sana, kwamba kuna mchezaji yuko juu ya timu na juu ya viongozi, juu ya wanachama na juu ya mashabiki WANAOJIELEWA,

Nasema mashabiki wanaojielewa sababu wengi wao wamekwazika sana na kilichotokea ama kinachoendelea na wengi wameona hakuna haja ya kwenda uwanjani sababu kuna mchezaji amewadharau na kuwakosea adabu na bado wanalipia tiketi kuona ubovu wa viongozi wa simba kuruhusu mchezaji kua na utovu wa nidhamu na kua juu ya vichwa vyao. Je hii italeta inpact gani au itaonesha taswira gani kwa mashabiki wa mpira wanaojielewa na wachezaji

Mashabiki hoyahoya ndio hawa unawaona mara "ooh kibu mkandaji karejea", mara karibu kibudenga" na official page za timu ya simba zikimkaribisha kwa BASHASHA.

Mara leo tena tunasikia Onana kauzwa, sasa unajiuliza kulikua na haja gani ya kumuita mchezaji Misri na mapicha kibao ilihali nyuma ya pazia mnakbaliana na timu nyingine kumuuza mchezaji tena hata bila yeye kuwepo, ama kweli nakubaliana na baadhi ya wadau wanaosema mashabiki wanapumbazwa sana na asilimia kubwa ndio mashabiki hoyahoya. Mara mchezaji yuko Ubelgiji, ila kwenye page ya timu utambulisho wake bado upo, usanii juu ya usanii
Shida ni kwamba anajiona yeye ndiye mkombozi wenu hasa mnapocheza na Mahasimu wenu (Yanga). Tatizo na nyie mashabiki mmejaa kwenye mfumo wa Kibu. Huyo alikuwa wa kupewa adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine. Mbona wao (Wachezaji) wasipolipwa stahili zao huwa wanazipeleka Klabu TFF na FIFA.
 
Ni upuuzi kwa kweli, siendi kutizma game za simba kwa ujinga huu.
 
Mambo ya ajabu sana kwa mpira wa kitanzania haswa kwa timu za Kariakoo ila naona Yanga wamejitoa kua wasanii na kua na viongozi wapumbavu.

Timu ya SIMBA, mchezaji anapewa mkataba, pesa na kila kitu alichoomba, badala ya kuripoti kambini mchezaji anaonesha utovu wa nidhamu kwa kutokuja mahala pa kazi tena bila sababu za msingi, mchezaji anapigiwa simu hapokei, pre season yote huonekani, hata yawezekana Kocha hakujui, mana kocha anategemea uwepo na wenzako ili mtengeneze muunganiko, lakini haupo,

Sasa mambo yamekuendea kombo huko ulikokua, unarudi, na zaidi viongozo walivyo majuha wanakupokea na unakuepo kama vile hakuna kilichotokea, hii ni DHARAU kubwa sana, kwamba kuna mchezaji yuko juu ya timu na juu ya viongozi, juu ya wanachama na juu ya mashabiki WANAOJIELEWA,

Nasema mashabiki wanaojielewa sababu wengi wao wamekwazika sana na kilichotokea ama kinachoendelea na wengi wameona hakuna haja ya kwenda uwanjani sababu kuna mchezaji amewadharau na kuwakosea adabu na bado wanalipia tiketi kuona ubovu wa viongozi wa simba kuruhusu mchezaji kua na utovu wa nidhamu na kua juu ya vichwa vyao. Je hii italeta inpact gani au itaonesha taswira gani kwa mashabiki wa mpira wanaojielewa na wachezaji

Mashabiki hoyahoya ndio hawa unawaona mara "ooh kibu mkandaji karejea", mara karibu kibudenga" na official page za timu ya simba zikimkaribisha kwa BASHASHA.

Mara leo tena tunasikia Onana kauzwa, sasa unajiuliza kulikua na haja gani ya kumuita mchezaji Misri na mapicha kibao ilihali nyuma ya pazia mnakbaliana na timu nyingine kumuuza mchezaji tena hata bila yeye kuwepo, ama kweli nakubaliana na baadhi ya wadau wanaosema mashabiki wanapumbazwa sana na asilimia kubwa ndio mashabiki hoyahoya. Mara mchezaji yuko Ubelgiji, ila kwenye page ya timu utambulisho wake bado upo, usanii juu ya usanii
Ubwabwa Ubwela 🥺
 
Mambo ya ajabu sana kwa mpira wa kitanzania haswa kwa timu za Kariakoo ila naona Yanga wamejitoa kua wasanii na kua na viongozi wapumbavu.

Timu ya SIMBA, mchezaji anapewa mkataba, pesa na kila kitu alichoomba, badala ya kuripoti kambini mchezaji anaonesha utovu wa nidhamu kwa kutokuja mahala pa kazi tena bila sababu za msingi, mchezaji anapigiwa simu hapokei, pre season yote huonekani, hata yawezekana Kocha hakujui, mana kocha anategemea uwepo na wenzako ili mtengeneze muunganiko, lakini haupo,

Sasa mambo yamekuendea kombo huko ulikokua, unarudi, na zaidi viongozo walivyo majuha wanakupokea na unakuepo kama vile hakuna kilichotokea, hii ni DHARAU kubwa sana, kwamba kuna mchezaji yuko juu ya timu na juu ya viongozi, juu ya wanachama na juu ya mashabiki WANAOJIELEWA,

Nasema mashabiki wanaojielewa sababu wengi wao wamekwazika sana na kilichotokea ama kinachoendelea na wengi wameona hakuna haja ya kwenda uwanjani sababu kuna mchezaji amewadharau na kuwakosea adabu na bado wanalipia tiketi kuona ubovu wa viongozi wa simba kuruhusu mchezaji kua na utovu wa nidhamu na kua juu ya vichwa vyao. Je hii italeta inpact gani au itaonesha taswira gani kwa mashabiki wa mpira wanaojielewa na wachezaji

Mashabiki hoyahoya ndio hawa unawaona mara "ooh kibu mkandaji karejea", mara karibu kibudenga" na official page za timu ya simba zikimkaribisha kwa BASHASHA.

Mara leo tena tunasikia Onana kauzwa, sasa unajiuliza kulikua na haja gani ya kumuita mchezaji Misri na mapicha kibao ilihali nyuma ya pazia mnakbaliana na timu nyingine kumuuza mchezaji tena hata bila yeye kuwepo, ama kweli nakubaliana na baadhi ya wadau wanaosema mashabiki wanapumbazwa sana na asilimia kubwa ndio mashabiki hoyahoya. Mara mchezaji yuko Ubelgiji, ila kwenye page ya timu utambulisho wake bado upo, usanii juu ya usanii
Pole
 
Kwa kweli tumeumia sana sisi Utopolo. Sijui itakuwaje, kushoto tuna lile jamaa linalokimbia kuliko SGR, kulia kuna mkandaji.
 
Back
Top Bottom