Mashabiki wa simba waanza mchango kwa ajili ya kumchangia legend Magoma akate rufaa

Mashabiki wa simba waanza mchango kwa ajili ya kumchangia legend Magoma akate rufaa

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Baada ya Magoma kuangukia pua leo ni pigo la pili baada ya kipigo cha mwizi cha jana kutoka kwa Simba ni maumivu juu ya maumivu hakimu angesubiria angalau mpaka jumatatu ndo atoe huku kidogo maumivu ya jana yangekua yamepoa.

Kushindwa kwa Magoma ni pigo kubwa kwa Simba ni ukweli ili kuishinda hii yanga ni lazima iwe dhaifu na magoma alikua anaitimiza hii adhma ila ameangukia pua.

Soma Pia: Mzee Magoma ashindwa kesi ametakiwa kuilipa Yanga Sc zaidi ya Milioni 70

Ni wakati wa mashabiki wote wa simba kumchangia Magoma akate rufaa ili aendelee kupambana na hatimaye kutimiza lengo lake la kuifanya Yanga kuwa dhaifu.
 
Kumuhusisha mzee Magoma na Simba ni kukwepa wajibu wa kuzitazama hoja zake. Nina imani mzee Magoma na wenzake walichukua hatua zile kama wapenzi wa Yanga, na wala hajaanza leo
 
Kumuhusisha mzee Magoma na Simba ni kukwepa wajibu wa kuzitazama hoja zake. Nina imani mzee Magoma na wenzake walichukua hatua zile kama wapenzi wa Yanga, na wala hajaanza leo
Mashabiki wa simba wanasupport harakati zake na mashabiki wa simba na magoma wana-lengo moja Yanga kuwa dhaifu
 
Kichwa Cha habari na habari yenyewe tofauti halafu mkiambiwa huko wenye akili ni wawili mnabisha
 
Badala wachange kupata Striker wa maana, wao wanachanga kuhudumia kesi za timu nyingine?
 
Kwaiyo Sanda FC wanashindania Magoma cup kwa sasa
 
Back
Top Bottom