Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
😆😆 mshono unauma kuliko kidonda chenyeweTP MAZEMBE waangalie wasije wakapiga hapo hapo jamani! 🤣View attachment 3176496
Tv ya shemeji yako na watoto wake ishakuwa yako na wewe? Unajisahau Sana uto.Mashindano madogo ya Shirikisho, hayana mvuto
Mechi ni Leo
Kesho nazima Tv, naenda kunywa bia
Duuuh umejua kunitukana kijana😅Tv ya shemeji yako na watoto wake ishakuwa yako na wewe? Unajisahau Sana uto.
Heri Yao,subiri zamu yetu ifike utashuhudia vituko kutokana na jinsi hatufanyi vizuri.Simba SC inakabiliwa na mwitikio mdogo wa mashabiki wake kuelekea mechi yao ya tatu ya Kundi A kwenye Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Sfaxien, Jumapili Disemba 15,2024 katika dimba la Mkapa majira ya saa kumi jioni.
Takwimu za Uuzaji wa Tiketi Mechi ya Simba vs CS Sfaxien
View attachment 3176482
Licha ya tiketi kuuzwa bei hadi TSh. 3000, mashabiki wengi bado hawajajitokeza kununua tiketi kwa wingi, hali inayozua wasiwasi kuhusu sapoti ya timu hiyo katika mechi muhimu ya kimataifa.
View attachment 3176489
Hahahahaja,ila watu mhmh siwaweziTv ya shemeji yako na watoto wake ishakuwa yako na wewe? Unajisahau Sana uto.
Kuitosa kivipi..au hao waliokata tiketi ni vyura?!Simba SC inakabiliwa na mwitikio mdogo wa mashabiki wake kuelekea mechi yao ya tatu ya Kundi A kwenye Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Sfaxien, Jumapili Disemba 15,2024 katika dimba la Mkapa majira ya saa kumi jioni.
Takwimu za Uuzaji wa Tiketi Mechi ya Simba vs CS Sfaxien
View attachment 3176482
Licha ya tiketi kuuzwa bei hadi TSh. 3000, mashabiki wengi bado hawajajitokeza kununua tiketi kwa wingi, hali inayozua wasiwasi kuhusu sapoti ya timu hiyo katika mechi muhimu ya kimataifa.
View attachment 3176489
Ni mbumbumbuKuitosa kivipi..au hao waliokata tiketi ni vyura?!
Kwani ile list ya wenye akili ni wawili bado ileile au imeongezeka?Ni mbumbumbu