Mashabiki wa Simba wamedekezwa na timu yao

Mashabiki wa Simba wamedekezwa na timu yao

busha

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
1,712
Reaction score
2,577
Simba uwa inacheza mpira mwingi wa pasi nyingi na ufundi wa hali ya juu.

Hata ikitokea timu ikafungwa basi mashabiki huwa wanaridhika na kuona bahati haikua kwao kwa jinsi kiwango kizuri kilichoinyeshwa na timu.

Mpira aliopigiwa Kaizer Chiefs mwaka jana Simba ilipata ushindi na kutolewa lakini mashabiki walikua na matumaini makubwa kwa timu kwa soka zuri lilochezwa.

Leo hii Simba imecheza na Red Arows ya Zambia na kufuzu hatua ya makundi lakini bado mashabiki awana imani na timu yao kwa soka bovu,mashabiki wa Simba wamezoea mpira wa chini pasi nyingi na ufundi mwingi.

Hongera kwa Simba kufuzu hatua ya makundi shirikisho CAF.
 
Simba hawadeki bali wanaelewa mchezo wa mpira wa miguu una matokeo 3,kati ya hayo lazima moja litokee. Leo kwa mtazamo wangu kocha hakuwa na nia ya kutumia nguvu nyingi kushinda wala kushambulia bali kulinda nafasi yake tu.

Sio kama ni mbaya,ukiangalia ana mechi ya kuamua kukaza kusogea kileleni au kukaza huku leo then urudi namajeruhi wengi,hjku wenzetu wamejitoa kwa nguvu zote kushinda kwa matokeo yeyote
 
Ndio tushazowea pira mafuta, pira nakshi nakshi,pira make up.

Mambo ya butua butua ahaaa hapana mashabiki wa Simba tunajua mpira.
 
hizo shobo acha shobo wewe ni kama Nani simba useme hatuna imani na simba yetu
 
Simba hawadeki bali wanaelewa mchezo wa mpira wa miguu una matokeo 3,kati ya hayo lazima moja litokee. Leo kwa mtazamo wangu kocha hakuwa na nia ya kutumia nguvu nyingi kushinda wala kushambulia bali kulinda nafasi yake tu. Sio kama ni mbaya,ukiangalia ana mechi ya kuamua kukaza kusogea kileleni au kukaza huku leo then urudi namajeruhi wengi,hjku wenzetu wamejitoa kwa nguvu zote kushinda kwa matokeo yeyote
Kuna kaukweli hata mimi nimeona lengo la kocha lilikuwa nini.
Tangu kwenye mechi ya Geita gold Kocha ali-practice mfumo wa 6-3-1 na ndio mfumo huo huo aliutumia kwa Red Arrows jana (second half). Hali hii iliharibu staili ya uchezaji wa simba iliyozoeleka kumbe yalikuwa ni malengo ya kulinda ushindi wa awali.
 
Simba uwa inacheza mpira mwingi wa pasi nyingi na ufundi wa hali ya juu.

Hata ikitokea timu ikafungwa basi mashabiki huwa wanaridhika na kuona bahati haikua kwao kwa jinsi kiwango kizuri kilichoinyeshwa na timu.

Mpira aliopigiwa Kaizer Chiefs mwaka jana Simba ilipata ushindi na kutolewa lakini mashabiki walikua na matumaini makubwa kwa timu kwa soka zuri lilochezwa.

Leo hii Simba imecheza na Red Arows ya Zambia na kufuzu hatua ya makundi lakini bado mashabiki awana imani na timu yao kwa soka bovu,mashabiki wa Simba wamezoea mpira wa chini pasi nyingi na ufundi mwingi.

Hongera kwa Simba kufuzu hatua ya makundi shirikisho CAF.
Pira biriani limekuwa pira nyanya chungu! Msitufanyie hivyo mashabiki. Tafadhali rudini kwenye ubora wenu ili tuendelee kuburudika!
 
Mpira wa Tanzania unachezwa na kumalizikia kwenye vyombo vya habari. Ukisikia wanavyoongea utafikiri ligi yao ni zaidi ya EPL kumbe ni ya mchangani tu.
 
Performance ikilingana na uwekezaji, Kila shabiki atapokea matokeo yoyote Kwa moyo mkunjufu.
 
Simba hawadeki bali wanaelewa mchezo wa mpira wa miguu una matokeo 3,kati ya hayo lazima moja litokee. Leo kwa mtazamo wangu kocha hakuwa na nia ya kutumia nguvu nyingi kushinda wala kushambulia bali kulinda nafasi yake tu.

Sio kama ni mbaya,ukiangalia ana mechi ya kuamua kukaza kusogea kileleni au kukaza huku leo then urudi namajeruhi wengi,hjku wenzetu wamejitoa kwa nguvu zote kushinda kwa matokeo yeyote
Unasifia ujinga, approach alioingia nao ilikuwa ni mbinu ya ovyo sana, ni uzembe wao tu red arrows ila jana walikuwa wanaenda mapumziko na magoli matatu. Mpira waliocheza jana simba ndio ule mpira walikuwa wanafundwa tano tano kipindi kile. Uzembe wa Arrows ndio unamfanya Pablo aonekane shujaa
 
Back
Top Bottom