Mashabiki wa simba wamekimbia TV wameniacha peke yangu

Mashabiki wa simba wamekimbia TV wameniacha peke yangu

[emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20190825-175743.jpeg
 
Kalikuwa na mdomo sana.

Tatizo sio simba na nimeumia sana walipotolewa. Tatizo ni yule msemaji wao. Kazi kuwataja Yanga tu kwa kila kitu. Mpaka siku ya Simba yeye anaipaisha Yanga tu. Nilichukia sana na naamini Simba watajua mchawi wao ni nani. Tanzania tunapenda soka ila kwa ule usemaji wa Manara uzalendo sitaki.
 
Kalikuwa na mdomo sana.

Tatizo sio simba na nimeumia sana walipotolewa. Tatizo ni yule msemaji wao. Kazi kuwataja Yanga tu kwa kila kitu. Mpaka siku ya Simba yeye anaipaisha Yanga tu. Nilichukia sana na naamini Simba watajua mchawi wao ni nani. Tanzania tunapenda soka ila kwa ule usemaji wa Manara uzalendo sitaki.

Yule jamaa ana kimdomo sana, Acha wafungwe tu.
 
This is Simba, next level IGA ufe! Afu na wao wakaiga ya KMC!
 
Back
Top Bottom