ngulyavyangu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2019
- 203
- 266
Samahani lakiniThis is football
Leo amesusa hata majani hajala😂😂Samahani lakiniView attachment 1189783
[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1189780
Kalikuwa na mdomo sana.Samahani lakiniView attachment 1189783
Hahahaaaaaa bora wametoka mbwe mbwe zilizidi mno mtaani. Wakome uzalendo mwisho jana mechi ya Azam
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1189780
This is football
umesuka mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1189780
Kalikuwa na mdomo sana.
Tatizo sio simba na nimeumia sana walipotolewa. Tatizo ni yule msemaji wao. Kazi kuwataja Yanga tu kwa kila kitu. Mpaka siku ya Simba yeye anaipaisha Yanga tu. Nilichukia sana na naamini Simba watajua mchawi wao ni nani. Tanzania tunapenda soka ila kwa ule usemaji wa Manara uzalendo sitaki.
ha haaaaaa, nimechekaje?[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1189780