Mashabiki wa simba wamekimbia TV wameniacha peke yangu

Kalikuwa na mdomo sana.

Tatizo sio simba na nimeumia sana walipotolewa. Tatizo ni yule msemaji wao. Kazi kuwataja Yanga tu kwa kila kitu. Mpaka siku ya Simba yeye anaipaisha Yanga tu. Nilichukia sana na naamini Simba watajua mchawi wao ni nani. Tanzania tunapenda soka ila kwa ule usemaji wa Manara uzalendo sitaki.
 

Yule jamaa ana kimdomo sana, Acha wafungwe tu.
 
This is Simba, next level IGA ufe! Afu na wao wakaiga ya KMC!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…