Mashabiki wa simba, yanga watimba Zanzibar kunogesha tamasha la kizimkazi

Mashabiki wa simba, yanga watimba Zanzibar kunogesha tamasha la kizimkazi

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274
Mashabiki maarufu wa Simba na Yanga wakiwakilishwa na Miraji Maramoja, Mzaramo, Mwalimu Yanga pamoja na Jimmy Kindoki wamewasili Zanzibar kunongesha tamasha la Kizimkazi ambapo watachuana mechi ya kirafiki siku hiyo ya kilele Agosti 17, 2024.

Tamasha hilo limeandaliwa na Mwanamke Initiatives Foundation na litafunguliwa na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi.


 

Attachments

  • Snapinsta.app_video_An_DBg4jx5g7k-7cZLM6BQRRHmKwx9T_QyVtd_JNaca-660X1uM06Y5uCAws4AuKNrkajmjjQN...mp4
    22 MB
Tigo wananikera wanavyo nitumia sms kuhusiana na huo upuuzi
 
Back
Top Bottom