Mashabiki wa Soka: Kukosoa ndio kazi rahisi kuliko zote duniani

Mashabiki wa Soka: Kukosoa ndio kazi rahisi kuliko zote duniani

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
Aliyekua mchezaji wa zamani wa Manchester United, kisha akawa mchambuzi wa michezo ambaye sasa ni kocha wa klabu ya Valencia ya Hispania anazidi kuthibitishiwa kuwa kukosoa ni kazi rahisi mno na inayoweza kafanywa karibia na mtu yeyote yule baada ya kufikisha mechi sita kwenye ligi ya Hispania bila ushindi wowote na jana 03/02/2016 kupigwa goli 7-0 na Barcelona uwanjani Nou Camp.

Gary Neville ambaye anasifiwa kuwa mchambuzi mzuri wa michezo kwenye televisheni, timu yake ya Valencia sasa hivi ipo nafasi ya 12, na aliichukua ikiwa nafasi ya sita kutoka kwa kocha Mreno Nuno Gomez.
 
ngoja mashabiki wa dokta liki waje
 
ANAFIKIRI MAKOSA ANAYAFANYA LVG PEKE YAKE BADO SCHOLES
 
Back
Top Bottom