Mashabiki wa utopolo wanajitahidi sana kumsagia kunguni Elie Mpanzu ili waokote dodo

Mashabiki wa utopolo wanajitahidi sana kumsagia kunguni Elie Mpanzu ili waokote dodo

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Nimekuja kujifunza kuna hii tabia ya hawa kasongo wameizoea ya kuponda wachezaji wa Simba kupitia vi blog vyao vya soka.

Wao wanapoweka mitego yao unakuta baadhi ya mashabiki wa Simba wasiojitambua wamejaa kwenye mfumo nao wanaanza kulalamika.

Hizi ni propaganda za hovyo sana ambazo sisi tumeshazistukia na kwa hiyo tunazipuuza tu.

Elie Mpanzu anawahusu nini nyie utopolo nyuma mwiko?
 
FICHA UPUMBAVU MZEE.

SIMBA NA YANGA JLHAZIWEZI ZIKAKUSAIDIA.

ACHA KUPOTEZA MUDA.
 
Waliasema Chama ni Mzee,walimponda Baleke, walisema Mkude ameshuka kiwango halafu wakawasajili, Yanga anafeli kwa kukomoa Simba ,wangekuwa wanafanya usajili kwa maslahi ya timu wangefuzu makundi.

Huwezi kukomoa Simba unapochukua mchezaji aliyeshuka kiwango Simba wao wanaenda kumsajili mzuri zaidi .
 
Kwaiyo Mpanzu anakwenda kuchukua nafasi ya nani pale Yanga?
Mpaka Sasa Hakuna mchezaji yeyote pale Simba anaweza kuingia kwenye kikosi Cha kwanza Cha Yanga.
 
Mpanzu na Yacouba Sogne lao ni moja. Ni suala la muda tu. Wewe uliona wapi Mcongoman anafeli majaribio Ubelgiji?
 
Nyie vilaza wa makolo kolo, mnapontaja Yanga muwe mnaitaja kwa adabu zote. Kwani

1. Yanga ndiyo timu iliyoifunga simba mara nyingi zaidi. ( Makolo ni vibonde)

2. Kumri, Yanga ni Mkubwa zaidi ya Simba ( muheshimu kaka yako)

3. Yanga Ina idadi kubwa ya Mataji kuliko

4. Katika historia hakuna timu iliyomuonea Simba mara nyingi zaidi kuliko Yanga. (Hapa furaha hakuna)

5.Yanga ndiyo mbabe wa Simba Leo, kesho na hata milele.
 
Nyie vilaza wa makolo kolo, mnapontaja Yanga muwe mnaitaja kwa adabu zote. Kwani

1. Yanga ndiyo timu iliyoifunga simba mara nyingi zaidi. ( Makolo ni vibonde)

2. Kumri, Yanga ni Mkubwa zaidi ya Simba ( muheshimu kaka yako)

3. Yanga Ina idadi kubwa ya Mataji kuliko

4. Katika historia hakuna timu iliyomuonea Simba mara nyingi zaidi kuliko Yanga. (Hapa furaha hakuna)

5.Yanga ndiyo mbabe wa Simba Leo, kesho na hata milele.
Kwa hiyo kimsingi ulitaka kuandika dondoo mbili tu.Hizo 1,4 na 5 ni kitu umekirudia kwa miandiko ya mkono wa kushoto na kwa kutumia mguu.Utopolo bin mwakikundi wewe!
 
Walisemwa hivyo hivyo akina
Mkude
Chama
Baleke
Okra
Israeli Mwenda.
Sawa ni kweli walisema hivyo turudi kwenye uhakisia kati ya hao wote ni nani amewahi kua chagua la kwanza kwenye kikosi Cha kwanza Cha Gonga wazi. Kusema hawaingii kikosi Cha kwanza ni ishu nyingine na jusajiliwa pia ni ishu nyingine
 
Nimekuja kujifunza kuna hii tabia ya hawa kasongo wameizoea ya kuponda wachezaji wa Simba kupitia vi blog vyao vya soka.

Wao wanapoweka mitego yao unakuta baadhi ya mashabiki wa Simba wasiojitambua wamejaa kwenye mfumo nao wanaanza kulalamika.

Hizi ni propaganda za hovyo sana ambazo sisi tumeshazistukia na kwa hiyo tunazipuuza tu.

Elie Mpanzu anawahusu nini nyie utopolo nyuma mwiko?
Ellie Mpanzu ndiyo yule mchezaji anayekimbia na mpira halafu anawapasia mashabiki na ball boys?
 
Back
Top Bottom