chillo clan conscious
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 850
- 1,567
Nzikiriziganya naaweKyekyo Sebbo
Ttiimu yange eya Vipers Fc omwagalwa, byonna mbiwa, nti Zuwena Fc bagenda kukubwa ng’engooma.Tewesudiya muganda wange era wandibanga osirika busirisi, Mnyama akyali waamanyi nyo, era agenda kubba Vipers akomewo ne points ssatu.
Leo hii ligi dhaifu iliyokupeleka champions league ndo unaidharau, halafu Super league ya kuteuliwa unajisifia nayo..!!Tunazungumzia Champions League, sio NBCPL au sijui Shirikisho, hizo ni ligi dhaifu. Kuanzia mwezi August tutakuwa tunazungumzia Super League
Na Yanga pia inayomfunga Simba kila wakikuta kwa sasa..!!ila wapo Champions League, na timu dhaifu ya Vipers ilimuondoa kwenye Champions League na kumpeleka huko kwenye mashirikisho huyo TP Mazembe. Na Yanga pia aliondolewa na timu dhaifu ya Al Hilal na kupelekwa huko kwenye mashirikisho
Hivi Simba akitoa sare na Yanga ndio anakuwa amefungwa?Na Yanga pia inayomfunga Simba kila wakikuta kwa sasa..!!
Umetumia kigezo kipi kuita Al Hilal ni dhaifu? Timu imefungwa away dhidi ya Mamelod goli moja pekee. Timu imemfinga Al Ahly na kufanya kuwa na point tatu unahitaje kibonde?ila wapo Champions League, na timu dhaifu ya Vipers ilimuondoa kwenye Champions League na kumpeleka huko kwenye mashirikisho huyo TP Mazembe. Na Yanga pia aliondolewa na timu dhaifu ya Al Hilal na kupelekwa huko kwenye mashirikisho
Unajisahaulisha siyo..!Hivi Simba akitoa sare na Yanga ndio anakuwa amefungwa?
Haipo kwenye list ya Super CupUmetumia kigezo kipi kuita Al Hilal ni dhaifu? Timu imefungwa away dhidi ya Mamelod goli moja pekee. Timu imemfinga Al Ahly na kufanya kuwa na point tatu unahitaje kibonde?
Man U nao hawapo, je! nao ni dhaifu?Haipo kwenye list ya Super Cup
Nipe hiyo list ya timu 24 ambazo zitashiriki super cup ni zipi ili nione kama kweli haipoHaipo kwenye list ya Super Cup
Man U sio member wa CAFMan U nao hawapo, je! nao ni dhaifu?
Nikitoa list yangu utasema nazipendelea timu fulani na kuziminya timu fulani. Chukua list iliyotolewa na CAF ujionee mwenyeweNipe hiyo list ya timu 24 ambazo zitashiriki super cup ni zipi ili nione kama kweli haipo
Sitaki list yako nataka list official kutoka CAF, utoe list yako kwani wewe ni kiongozi wa shirikisho la soka Africa? Lete list ya CAF ambayo imeonesha Al Hilal hayupo kwenye timu 24 zitakazoshiriki Super leagueNikitoa list yangu utasema nazipendelea timu fulani na kuziminya timu fulani. Chukua list iliyotolewa na CAF ujionee mwenyewe
Ndicho na mimi nilichosema, ni kama tu unaniunga mkono. Mimi sina list yangu, tafuta list ambayo ni official kutoka CAF ujiwekee, wala mimi sikuwekeiSitaki list yako nataka list official kutoka CAF, utoe list yako kwani wewe ni kiongozi wa shirikisho la soka Africa? Lete list ya CAF ambayo imeonesha Al Hilal hayupo kwenye timu 24 zitakazoshiriki Super league
Kwani toka Simba apokonywe uchampion 21/22 na yanga kwenye ligi Simba kafa mara ngapi?Unajisahaulisha siyo..!
Piga hesabuKwani toka Simba apokonywe uchampion 21/22 na yanga kwenye ligi Simba kafa mara ngapi?
Iweke hiyo ya CAF, nachojua mimi CAF bado hawajatoa list ya timu zote 24 zitakazoshiriki Super league. Sasa wewe unayesema Al Hilal hawapo kwenye list nipe ushahidi wa list kutoka CAFNdicho na mimi nilichosema, ni kama tu unaniunga mkono. Mimi sina list yangu, tafuta list ambayo ni official kutoka CAF ujiwekee, wala mimi sikuwekei
Leo ni 2023, bado unashangilia ushindi wa 2013? Hapa karibuni hakuna cha kushangilia?2013 ulikuwa bado upo skull mdogo
Unapewa facts, unaanza kuleta taarabu.Niwakumbushe tu huu Uzi ni maalumu kwa Vipers Fans.Ubishi, Matusi, malalamiko peleka mahali pengine.. cc Lupweko