Mashabiki wa Yanga Kagera wapiga supu wakiisubiri Kagera Sugar kesho mchezo wa Ligi kuu

Mashabiki wa Yanga Kagera wapiga supu wakiisubiri Kagera Sugar kesho mchezo wa Ligi kuu

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755

Mashabiki wa Yanga SC mkoa wa Kagera leo wamejumuika na kupata supu kama utamaduni wao wakifurahia na kusherekea ubingwa wa Ngao ya Jamii na kusubiri kuanza kucheza michezo ya ligi kuu ya NBC hapo kesho.

Yanga kesho watakuwa katika dimba la Kaitaba kucheza mchezo wao wa kwanza wa ligi msimu huu wa 2024/2025 dhidi ya Kagera Sugar.


 

Mashabiki wa Yanga SC mkoa wa Kagera leo wamejumuika na kupata supu kama utamaduni wao wakifurahia na kusherekea ubingwa wa Ngao ya Jamii na kusubiri kuanza kucheza michezo ya ligi kuu ya NBC hapo kesho.

Yanga kesho watakuwa katika dimba la Kaitaba kucheza mchezo wao wa kwanza wa ligi msimu huu wa 2024/2025 dhidi ya Kagera Sugar.


Al Ahly anachinjiwa ng'ombe na Kagera sugar naye?
Hamuwezi kucheza bila mazingaombwe?
 
Mnaye nguruwe wenu kule kwa Mr Manguruwe mnaweza kuchagua mechi ambayo mashabiki wenu watajipatia supu kabla au baada ya mechi.
Mzee baba nguruwe hachinjwi hovyo
 
Back
Top Bottom