Mashabiki wa yanga kazi yenu kusema tu mpira hamjui

wakimataifa.

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
1,625
Reaction score
558
angalia Lwandamina amekaa na zesco karibu miaka miwili zesco kwenye renk ya caf ya 49 puljini yupo na yanga miaka miwili na nusu yanga ya 349 wapi kazi babuu babu babuuu babu
 
andika kinachoeleweka basi mbon una haraka hvyo!
 
Simba ya ngapi na ile timu ya kiwanda?
 
Viroba fake vina madhara makubwa.
Zambia ambako ZESCO inatoka ni ya ngapi kwenye rankings za dunia?
Tanzania ni ya ngapi? Ni timu ipo juu zaidi kwenye rankings hapa Tanzania?
 
Aliemuelewa huyu ki..la.z anifafanulie tafadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…