Simba imezindua jezi kuelekea msimu mpya. Tuseme basi jezi za Yanga ni bora zaidi ya Simba. Halafu?
Kwa miaka kadhaa Yanga wamekua wakijanasibu kuwa na jezi bora. Sasa tujiulize maswali, mbona matokeo ya uwanjani ni tofauti?
Achana na hiyo, Simba anavuta Tzs 1 Bilioni kwa Mwaka kutoka kwa Vunja Bei bila kujalisha zitauzwa ama hazitauzwa. Smart Brain.
Sasa tuwaulize Yanga, wanapata mgao wa kiasi gani kutoka GSM kila mwaka. Hakuna atakayedhubutu kuuliza. Ni ujanja ujanja tu.
Badala ya mashabiki wa Yanga kushughulika na jezi za Simba, wawaulize viongozi wao wamepokea kiasi gani mwaka jana kwenye mauzo ya jezi. Ni aibu hata kutaja.
Kwa miaka kadhaa Yanga wamekua wakijanasibu kuwa na jezi bora. Sasa tujiulize maswali, mbona matokeo ya uwanjani ni tofauti?
Achana na hiyo, Simba anavuta Tzs 1 Bilioni kwa Mwaka kutoka kwa Vunja Bei bila kujalisha zitauzwa ama hazitauzwa. Smart Brain.
Sasa tuwaulize Yanga, wanapata mgao wa kiasi gani kutoka GSM kila mwaka. Hakuna atakayedhubutu kuuliza. Ni ujanja ujanja tu.
Badala ya mashabiki wa Yanga kushughulika na jezi za Simba, wawaulize viongozi wao wamepokea kiasi gani mwaka jana kwenye mauzo ya jezi. Ni aibu hata kutaja.