Mnyuke Jr JF-Expert Member Joined Jul 3, 2021 Posts 4,472 Reaction score 6,391 Sep 3, 2021 #21 Nyamizi said: Leo unaranda randa na Comment hii kila mahari.Pata Mo Energy Mtani ikuongezee nguvu,maana naona kabisa unakoelekea leo si kuzuri [emoji3][emoji3][emoji3] Click to expand... Ila sio vibaya kuweka tarehe ya kuzaliwa ya Boss MO29 kwenye jezi ila wamesahau ya CEO wetu
Nyamizi said: Leo unaranda randa na Comment hii kila mahari.Pata Mo Energy Mtani ikuongezee nguvu,maana naona kabisa unakoelekea leo si kuzuri [emoji3][emoji3][emoji3] Click to expand... Ila sio vibaya kuweka tarehe ya kuzaliwa ya Boss MO29 kwenye jezi ila wamesahau ya CEO wetu
Mnyuke Jr JF-Expert Member Joined Jul 3, 2021 Posts 4,472 Reaction score 6,391 Sep 3, 2021 #22 Francis fares said: Wewe ndio hujui kabisa MO29 ni Sabuni multipurpose umeshikiwa akili na kushikwa makalio pia Click to expand... Ila katika ya msimu tutatoa jezi nyingine yenye tarehe ya Boss, Barbra na vunjabei Tuendelee kuwa wavumilivu katika kipindi hiki kigumu
Francis fares said: Wewe ndio hujui kabisa MO29 ni Sabuni multipurpose umeshikiwa akili na kushikwa makalio pia Click to expand... Ila katika ya msimu tutatoa jezi nyingine yenye tarehe ya Boss, Barbra na vunjabei Tuendelee kuwa wavumilivu katika kipindi hiki kigumu
Chumchang Changchum JF-Expert Member Joined Nov 1, 2013 Posts 5,988 Reaction score 6,226 Sep 3, 2021 #23 Yanga tulieni sindano uwaingie, mkitingishika itawavunjikia.. Attachments simbaasc+InstaUtility_-00_CTTzvlrKoob_11-241167173_594166631597568_638995453335677183_n.mp4 566.1 KB