Mashabiki wa yanga ndio watu wenye huzuni zaidi nchini

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2016
Posts
3,433
Reaction score
8,585
Utafiti unaonyesha kwa sasa nchini Tanzania mashabiki wa yanga ndio watu wenye huzuni zaidi nchini.

Na hii inatokana na wao kutopenda kuchomoa pindi wanapochomekwa kimoja au viwili

Hakika mmedhihirisha ninyi ni Wanauchi na sio wananchi

NB: MODS KWANI NYIE YANGA MBONA MNAPENDA KUFUTA AU KUUNGANISHA NYUZI ZETU MBONA SISI TUKIITWA MBUMBUMBU MIKIA AU HIRIZI FC HAMFUTI WALA KUUNGANISHA NYUZI HIZO



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani simba iliweza kuchomoa alivyopiga kimoja na mtimbwa na mwadui?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani uoni umeandika utoto..watu na majukumu mazito..mpira ukiisha maisha yanaendelea
 
We ndo unasema...! Huzuni itoke wapi? Bado tunashangilia 'sare' yetu na mnyama.!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…