NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Kwa hiyo hutaki tuhoji??Una tabia ya sigara Kali, wewe na mapashkuna wenzako si ndio mlikuwa mnamvimbisha kichwa Jana tu?
Hizi ni tabia za kimalaya malaya unatuletea hapa.
NA WEWE ULIKUWA UNATAKA KUMCHANGIA PIA!!!Kutokana na interview yake ya kusema kuwa "Anaipenda sana Yanga na mashabiki wa Yanga."
Kutokana na kuibuka kila baada ya tukio muhimu yaani Yanga inapokuwa na mechi muhimu ni dhahiri kabisa bila ya kificho NALIA NGWENA nimegundua huyu bwana mdogo hana upendo wowote na mashabiki wa Yanga.
Mashabiki tungemuona ana upendo wa dhati endapo angesubiri matukio muhimu ya Yanga yangepita ndipo angeibuka na jambo lake.
Kwa mantiki hiyo Feisal Salumu hatolamba hata senti yangu.
Umesoma na kuelewa nilichokiandika??NA WEWE ULIKUWA UNATAKA KUMCHANGIA PIA!!!
SO UNAFIKIRI KWELI FEISAL HANA HELA KWELI YA KUENDELEA NA HII KESI KULE CAS?
KWELI NIMEKUPUNGUZA VYEO KWA HILI