Mashabiki wa Yanga tusimpe presha Azizi Ki kwa kumlinganisha na Clatous Chama. Kwa Afrika Mashariki na kati, Chama ni level ya juu sana

Iziz k ana impact kubwa sanaa yule ni ball Dencer, anafanya kila anachojisikia uwanjani mm namfananisha na mido wa man city Kelvin de bruyne
 
Ni sawa, nafikiri Makolo ndiyo walianzisha hii ligi, ila ni kweli kwa sasa chama moto.
Tumpe aziz Ki muda atakuwa vema sana naimani hiyo labda apate maneraha
 
Tatizo anazungukwa na wapiga dili.

Inasemekana Try again anakula commission kwa wachezaji wote wa kigeni aliowaleta.
Chama anakula milioni karibu 15 kwa mwezi ila milioni 7 ni za try again.
 
Dna
 

Attachments

  • 1716970377649.jpg
    390.3 KB · Views: 5
Dna
 

Attachments

  • 1716917896426.jpg
    316.2 KB · Views: 5
SISI N WALEE TULIOOSAIDIWA NA MUNGU SISI N WALE TULOOBARIKIWA NA BABAAA
 

Attachments

  • 1716913180200.jpg
    71.2 KB · Views: 4
WANAOKUDHARAU WATAKUHESHIMU KESHOOO
 
piga moyo kondee wakati wa Mungu wakati sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…