Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Katika Hali isiyo ya kawaida mashabiki wa Yanga ... maarufu kama wananchi mtandaon wamefurahia timu yao kupigwa rungu la usajili ambapo ingekuwa timu nyingine wangeanza kilio
Hizi ni baadhi ya maoni
" Bora tu mtufungie tu kusajili maana tusije endelea kuwapa watu [emoji112][emoji112]"
" Tufungieni tu bana kama wachezaji si mnaona wenyewe tunao wa kutosha....labda jirani ndo anahitaji wachezaji"
"Bora tupitie vikwazo kidogo maana hii furaha ya Yanga Kila siku itatuua....now we want problems
MASHABIKI WENGI WA YANGA WANAOMBA TIMU IFUNGIWE KUSAJILI LA SIVYO WATAUGUA KISUKARI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Je kitaalamu inaitwaje hii????
Hizi ni baadhi ya maoni
" Bora tu mtufungie tu kusajili maana tusije endelea kuwapa watu [emoji112][emoji112]"
" Tufungieni tu bana kama wachezaji si mnaona wenyewe tunao wa kutosha....labda jirani ndo anahitaji wachezaji"
"Bora tupitie vikwazo kidogo maana hii furaha ya Yanga Kila siku itatuua....now we want problems
MASHABIKI WENGI WA YANGA WANAOMBA TIMU IFUNGIWE KUSAJILI LA SIVYO WATAUGUA KISUKARI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Je kitaalamu inaitwaje hii????