Mashabiki wa Yanga wakataa Aziz Ki asipige kona, Wakimshinikiza aende akasubilie mpira wa kona ili afunge

mwarabu feki

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2023
Posts
811
Reaction score
1,811
Leo katika mechi ya Yanga dhidi ya Tanzania Prisons, Wakati Aziz Ki alipoenda kupiga kona, mashabiki walimzonga kwa kumwambia aache hilo jukumu la kupiga kona lifanywe na mchezaji mwenzake na yeye aende kwenye box la Tanazania Prisons ili ajaribu kufunga.

Jionee video hiyo hapo chini.

Your browser is not able to display this video.
 
Video haipo, alafu ilikuwaje sasa baada ya kumzonga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…