Mashabiki wa yanga wamemuandalia tuzo maalumu Aucho

Mashabiki wa yanga wamemuandalia tuzo maalumu Aucho

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa timu ya Yanga, Ally Kamwe amesema kilele ya Wiki ya Mwananchi Agosti 4, 2024 kutakuwa na tuzo maalumu iliyoandaliwa na mashabiki wa timu hiyo kwa ajili ya kumkabidhi kiungo Khalid Aucho.

Mashabiki hao wamemwandalia tuzo hiyo baada ya kumchagua kuwa mchezaji bora baada ya kukosa tuzo za Shirikisho la Soka Tanzania ( TFF) misimu miwili mfululizo.
 

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa timu ya Yanga, Ally Kamwe amesema kilele ya Wiki ya Mwananchi Agosti 4, 2024 kutakuwa na tuzo maalumu iliyoandaliwa na mashabiki wa timu hiyo kwa ajili ya kumkabidhi kiungo Khalid Aucho.

Mashabiki hao wamemwandalia tuzo hiyo baada ya kumchagua kuwa mchezaji bora baada ya kukosa tuzo za Shirikisho la Soka Tanzania ( TFF) misimu miwili mfululizo.
👏👏
 
TFF Saria aondolewa haraka, muda wake bado tu
 
Back
Top Bottom