Mashabiki wa Yanga waonesha weledi mkubwa sana kwenye soka letu, wapewe maua yao

Mashabiki wa Yanga waonesha weledi mkubwa sana kwenye soka letu, wapewe maua yao

Dong Jin

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2018
Posts
968
Reaction score
2,034
Jana baada ya mechi ya Yanga Vs Tabora kumalizika, licha ya timu ya yanga kupoteza mara ya pili mfululizo kwa bao 3-1 tena wakiwa uwanja wa nyumbani, mashabiki wa yanga karibia asilimia 80 walisimama na kuwapigia makofi wachezaji wao kuwapongeza kwa kazi kubwa waliyoifanya.

Hii ni maturity ya hali ya juu sana katika mpira wetu hasa pale hizi timu mbili za mizimu ya nchi zinapofungwa na mashabiki wakaungana na wachezaji wao kuwapongeza kwa kazi nzuri

Yawezekana wameanza kulielewa soka la dunia linavyoenda kuwa kila timu lazima ipitie kipindi kibaya hasa pale inapokuwa imepata mafanikio makubwa msimu wa nyuma yake pamoja na kuwapoteza key players wake. Safu ya ulinzi ya yanga imekumbwa na majeraha pamoja na kadi kiasi cha kumlazimu mwalimu Gamondi awatumie viungo wakabaji na mawinga km mabeki (Aucho, Andambwile na Nkane) jambo linalofanya wapitike kiurahisi kwa kuwa hawana uzoefu wa kutosha kucheza km mabeki

Hiki kitu ndo kinachowakumba hata man city msimu huu wamefungwa mechi nne mfululizo!
 
Jana baada ya mechi ya Yanga Vs Tabora kumalizika, licha ya timu ya yanga kupoteza mara ya pili mfululizo kwa bao 3-1 tena wakiwa uwanja wa nyumbani, mashabiki wa yanga karibia asilimia 80 walisimama na kuwapigia makofi wachezaji wao kuwapongeza kwa kazi kubwa waliyoifanya.

Hii ni maturity ya hali ya juu sana katika mpira wetu hasa pale hizi timu mbili za mizimu ya nchi zinapofungwa na mashabiki wakaungana na wachezaji wao kuwapongeza kwa kazi nzuri

Yawezekana wameanza kulielewa soka la dunia linavyoenda kuwa kila timu lazima ipitie kipindi kibaya hasa pale inapokuwa imepata mafanikio makubwa msimu wa nyuma yake pamoja na kuwapoteza key players wake. Safu ya ulinzi ya yanga imekumbwa na majeraha pamoja na kadi kiasi cha kumlazimu mwalimu Gamondi awatumie viungo wakabaji na mawinga km mabeki (Aucho, Andambwile na Nkane) jambo linalofanya wapitike kiurahisi kwa kuwa hawana uzoefu wa kutosha kucheza km mabeki

Hiki kitu ndo kinachowakumba hata man city msimu huu wamefungwa mechi nne mfululizo!
Man city anahusikaje kwa yanga!
 
Timu yetu imetupa mafanikio mengi, nyakati chache kama hizi za kuanguka haziwezi kuondoa heshima na furaha walivyotupatia.
Hakika... Ingekuwa ni ule upande wa pili, jumba bovu lingekuwa lishapatikana tayari ingebaki kazi moja ya kuliangusha
 
Jana baada ya mechi ya Yanga Vs Tabora kumalizika, licha ya timu ya yanga kupoteza mara ya pili mfululizo kwa bao 3-1 tena wakiwa uwanja wa nyumbani, mashabiki wa yanga karibia asilimia 80 walisimama na kuwapigia makofi wachezaji wao kuwapongeza kwa kazi kubwa waliyoifanya.

Hii ni maturity ya hali ya juu sana katika mpira wetu hasa pale hizi timu mbili za mizimu ya nchi zinapofungwa na mashabiki wakaungana na wachezaji wao kuwapongeza kwa kazi nzuri

Yawezekana wameanza kulielewa soka la dunia linavyoenda kuwa kila timu lazima ipitie kipindi kibaya hasa pale inapokuwa imepata mafanikio makubwa msimu wa nyuma yake pamoja na kuwapoteza key players wake. Safu ya ulinzi ya yanga imekumbwa na majeraha pamoja na kadi kiasi cha kumlazimu mwalimu Gamondi awatumie viungo wakabaji na mawinga km mabeki (Aucho, Andambwile na Nkane) jambo linalofanya wapitike kiurahisi kwa kuwa hawana uzoefu wa kutosha kucheza km mabeki

Hiki kitu ndo kinachowakumba hata man city msimu huu wamefungwa mechi nne mfululizo!
Punguza Uongo utakuja kusutwa. Hiyo asilimia 80 unaijua wewe? Kwanza takribani 50% ya mashabiki waliondoka. Uwanjani mara tu goli la 3 kutiwa kimiani. Yaani hata goli la kufutia machozi hawakuwepo uwanjani.

Leo anakuja mtu mmoja kutuaminisha uongo. Yanga haina mashabiki wa aina hiyo
 

Attachments

  • IMG-20241008-WA0002.jpg
    IMG-20241008-WA0002.jpg
    84.2 KB · Views: 4
Tuliposhinda tulifurahi pamoja, tumepoteza tuungane tuwe kitu kimoja, never give up, life goes on, Hiyo ndo football
 
Jana baada ya mechi ya Yanga Vs Tabora kumalizika, licha ya timu ya yanga kupoteza mara ya pili mfululizo kwa bao 3-1 tena wakiwa uwanja wa nyumbani, mashabiki wa yanga karibia asilimia 80 walisimama na kuwapigia makofi wachezaji wao kuwapongeza kwa kazi kubwa waliyoifanya.

Hii ni maturity ya hali ya juu sana katika mpira wetu hasa pale hizi timu mbili za mizimu ya nchi zinapofungwa na mashabiki wakaungana na wachezaji wao kuwapongeza kwa kazi nzuri

Yawezekana wameanza kulielewa soka la dunia linavyoenda kuwa kila timu lazima ipitie kipindi kibaya hasa pale inapokuwa imepata mafanikio makubwa msimu wa nyuma yake pamoja na kuwapoteza key players wake. Safu ya ulinzi ya yanga imekumbwa na majeraha pamoja na kadi kiasi cha kumlazimu mwalimu Gamondi awatumie viungo wakabaji na mawinga km mabeki (Aucho, Andambwile na Nkane) jambo linalofanya wapitike kiurahisi kwa kuwa hawana uzoefu wa kutosha kucheza km mabeki

Hiki kitu ndo kinachowakumba hata man city msimu huu wamefungwa mechi nne mfululizo!
Swali fikirishi kwanini wasiwe na mabeki wengi kama walivyo na viongo wakabaji wengi, (viongo wakabaji)
 
Jana baada ya mechi ya Yanga Vs Tabora kumalizika, licha ya timu ya yanga kupoteza mara ya pili mfululizo kwa bao 3-1 tena wakiwa uwanja wa nyumbani, mashabiki wa yanga karibia asilimia 80 walisimama na kuwapigia makofi wachezaji wao kuwapongeza kwa kazi kubwa waliyoifanya.

Hii ni maturity ya hali ya juu sana katika mpira wetu hasa pale hizi timu mbili za mizimu ya nchi zinapofungwa na mashabiki wakaungana na wachezaji wao kuwapongeza kwa kazi nzuri

Yawezekana wameanza kulielewa soka la dunia linavyoenda kuwa kila timu lazima ipitie kipindi kibaya hasa pale inapokuwa imepata mafanikio makubwa msimu wa nyuma yake pamoja na kuwapoteza key players wake. Safu ya ulinzi ya yanga imekumbwa na majeraha pamoja na kadi kiasi cha kumlazimu mwalimu Gamondi awatumie viungo wakabaji na mawinga km mabeki (Aucho, Andambwile na Nkane) jambo linalofanya wapitike kiurahisi kwa kuwa hawana uzoefu wa kutosha kucheza km mabeki

Hiki kitu ndo kinachowakumba hata man city msimu huu wamefungwa mechi nne mfululizo!
Bila sindano, hamna team pale
 
Kuna sehemu nimesema mashabiki wameanza kulielewa soka la dunia... Nisingeitumia man city km mfano wa haya yanayotokea yanga nisingeeleweka
Wewe wa kujifananisha nae ni simba mkuu jana wamepiga makofi kesho mzee mpili atataka kumfunga mtu peremende acha kutoa mifano ya level za juu hamjafika huko!
 
Punguza Uongo utakuja kusutwa. Hiyo asilimia 80 unaijua wewe? Kwanza takribani 50% ya mashabiki waliondoka. Uwanjani mara tu goli la 3 kutiwa kimiani. Yaani hata goli la kufutia machozi hawakuwepo uwanjani.

Leo anakuja mtu mmoja kutuaminisha uongo. Yanga haina mashabiki wa aina hiyo
Kwahiyo unatakaje... Ukiambiwa 80% ya waliokuwa uwanjani unawajumlisha vp waliotoka nje? Je, we ni kipofu kwamba hukuona wakipiga makofi?

Tatizo la wabongo wengi ni;
1. ELIMU
2. ELIMU
3. ELIMU
 
Wewe wa kujifananisha nae ni simba mkuu jana wamepiga makofi kesho mzee mpili atataka kumfunga mtu peremende acha kutoa mifano ya level za juu hamjafika huko!
Sisi tushavuka huko, level hizo ni za kina Magori na mangungu... Yanga ishakuwa very matured hasa ktk maswala km haya
 
Back
Top Bottom