Miaka hii vita ya ugaidi itakuwa pana sana kwani inabidi kuwasaka man u ,arsenal,liverpool,chelsea,simba au yanga terrorist, enh! Kwani wanafanya suicide na kuua inocent people, pia wanahusika kufanya genocide in soccer, naomba fifa ya blatter iandae mahakama ya genocide soccer fans killing court kati ya kenya au nigeria, maana hii ni terrorism inayonyemelea kiutani utani,