Kujibu comments mbona sio vibayaIkafika muda kila comment ya shabiki akawa anaijibu, hapa ndo nilipogundua kwamba jamaa hana huo ukubwa anaojivika kwenye huu muziki!
[emoji28][emoji28]Hata wewe mtoa maada issue ya kushinda instagram na kusoma kila comment ya rayvanny inamaana kuwa bado unakaa kwa dada ako..
Laiti ungeijua biashara ya muziki inavyokwenda, usingeandika hichi ulichoandika!....Ila Ray vanny kazidi kila nyimbo ya msanii mdogo iki trend tu yeye fasta anaomba remix
Mpaka nyimbo za wanakwaya anaomba remix..
1. Upo single ya zablon singers ray vanny kaomba remix
2. Misso Missondo DJ. Ray vanny kaomba remix
3. Dayoo huu mwaka ray vanny kaomba remix
4. Mavocali ray vanny kaomba remix
Laiti ungeijua biashara ya muziki inavyokwenda, usingeandika hichi ulichoandika!....
Michael Jackson alipoomba remix ya 🎶Hold my hand kwa Akon mwaka 2008...
Alikuwa anapungukiwa nini kimuziki!?... Ama ile ngoma ilikua inamuongezea nini!? Ambacho hana kwenye muziki!?
Muziki ni vibe mzee.. biashara ya muziki haiko kama unavyofikiria..
Eti wananyonywaBora angebaki tu kule!
[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata wewe mtoa maada issue ya kushinda instagram na kusoma kila comment ya rayvanny inamaana kuwa bado unakaa kwa dada ako..
Kivipi?Eti wananyonywa
WCB inambeba mondi peke yake, hawa wengine wakitoka hawana pa kwenda wala kujisimamia wenyewe hawawezi, Harmonize katoka ila lebo yake hamna kitu, rayvanny mwenyewe hiyo next level ilizinduliwa kwa mbwembwe ila hamna loloteHamna msanii pale , WCB ilikuwa inambeba ,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata wewe mtoa maada issue ya kushinda instagram na kusoma kila comment ya rayvanny inamaana kuwa bado unakaa kwa dada ako..