Mashabiki Wenzangu wa MAN U,timu yetu Ina matatizo Gani??

Mashabiki Wenzangu wa MAN U,timu yetu Ina matatizo Gani??

Forest Hill

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
2,873
Reaction score
6,821
Hii tImu Nilianza Kuipenda mwaka 1998 nikiwa Shule ya vidudu,Bi mkubwa alinunua Jezi number 7 mgongoni Imeandikwa Cantona,Kaka zangu wakawa wananipa story za Cantona,Tangu hapo nikawa mpenzi wa Manchester united,

Wakati Nasoma secondary school,usiku tulikua tunatoroka shule tunatembea karibu kilometers 3 tukaangalie Mpira, crazy right?? Manchester ilikua timu ya kuogopwa,kati ya mashabiki kumi wa mpira,7 tulikua Manchester,hao watatu Chelsea na Arsenal,kwa msimu nilikua naangalia mechi Karibu zote za Manchester..

Enzi za Vaan Gal na Moyes sikuangalia kabisa Manchester ikicheza,nilikua mahala Sina access ya mechi hizo zaidi ya kufatilia matokeo,enzi za Jose Mourinho nikawa naangalia tena Man u,niliangalia Mechi ZOTE,

Sasa hivi Sasa Hadi aibu,kuangalia Manchester ni kujitafutia magonjwa ya moyo,Leo tunacheza Na arsenal hata hamu ya kuangalia mpira Sina,najua tutapoteza,hata matokeo yakiwa tofauti Bado haitabadili maana kua wakati wetu umepita,.

Wenzangu ambao mnaangalia Manchester,tatizo ni Nini??Nini kimewakuta the Red Devils??
 
Hii tImu Nilianza Kuipenda mwaka 1998 nikiwa Shule ya vidudu,Bi mkubwa alinunua Jezi number 7 mgongoni Imeandikwa Cantona,Kaka zangu wakawa wananipa story za Cantona,Tangu hapo nikawa mpenzi wa Manchester united,

Wakati Nasoma secondary school,usiku tulikua tunatoroka shule tunatembea karibu kilometers 3 tukaangalie Mpira, crazy right?? Manchester ilikua timu ya kuogopwa,kati ya mashabiki kumi wa mpira,7 tulikua Manchester,hao watatu Chelsea na Arsenal,kwa msimu nilikua naangalia mechi Karibu zote za Manchester..

Enzi za Vaan Gal na Moyes sikuangalia kabisa Manchester ikicheza,nilikua mahala Sina access ya mechi hizo zaidi ya kufatilia matokeo,enzi za Jose Mourinho nikawa naangalia tena Man u,niliangalia Mechi ZOTE,

Sasa hivi Sasa Hadi aibu,kuangalia Manchester ni kujitafutia magonjwa ya moyo,Leo tunacheza Na arsenal hata hamu ya kuangalia mpira Sina,najua tutapoteza,hata matokeo yakiwa tofauti Bado haitabadili maana kua wakati wetu umepita,.

Wenzangu ambao mnaangalia Manchester,tatizo ni Nini??Nini kimewakuta the Red Devils??
Inahitaji overhaul, from wachezaji hadi uongozi
 
Ile interview akasema kuhusu swimming pool??
Weka ushabiki na hisia pembeni halafu tulia ukaitazame tena ile video, kamaliza kataja matatizo yote ya club.
1 - Uongozi mbovu.
2 - Wamiliki kutokujali team.
3 - Hakuna technolojia iliyobadilika tangu aondoke. sio miundombinu mpaka mifumo ya ulaji na maisha kiujumla ya wachezaji.
4 - Wachezaji hawajitoi kwajili ya team na hawataki kujifunza kwa wakubwa wao na hawana heshima hususani wachezaji wadogo.
5 - Alishangazwa na ufukuzwaji wa solskjer na kuletwa rangiki ambae alikua sports director na sio kocha, Alibidi amheshimu sababu ndio boss.
6 - Kocha na wachezaji wenzake wazamani walikua wana criticis juu yake.
Ukiangalia manchester inavyocheza unaona yote hayo.
 
Man u haina tatizo lolote, kwani Everton, Luton, Nottingham zina matatizo yoyote?
 
Mwandulami ,njombe ashafariki sijui nani aende akang'oe uchawi wa ferguson ambaye ni mume wa catherine
 
Man united inashida ya kimfumo kuanzia mmiliki,viongozi hadi mchezaji.

Yote aliongea Cristiano Ronald


Wachezaji na mashabiki wengi tunaipenda sana hii timu.

Hata leo aseenal walikijua hilo wakipaswa kushida 3 4 5 6 lkn wameshindwa wachezaji wanajua Liverpool asernal na man City sio timu tuuu ni maadui.

Leo asernal walikuwa kama timu ya kushika daraja
 
Man u haina tatizo lolote, kwani Everton, Luton, Nottingham zina matatizo yoyote?
 
kalbu sana man city. huku kuna , KDB, Alverez, Haaland, Stone, Foden, Silva, Bobb, lewis, Gomez, Darwin, Rodri, walker, Ake, Akanji, Doku. etc
 
Back
Top Bottom