GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wale waliokuwa Wapiga Solo wake HATARI na MAHIRI akina Ramazan Fulutuni na Felly Tyson Debafome wako wapi?Antoine Christophe Agbepa Mumba
sijui mkuu, ila mwamba namkubali sana, hanaga unafiki kwa kile apendacho, kwa mfano anasemaga yeye anapenda kunyandua pisi kali na hawez jificha kwa hilo.Wale waliokuwa Wapiga Solo wake HATARI na MAHIRI akina Ramazan Fulutuni na Felly Tyson Debafome wako wapi?
Sijayaelewa vyema Maelezo yako haya hasa baada ya kujibu....sijui mkuu.....sijui mkuu, ila mwamba namkubali sana, hanaga unafiki kwa kile apendacho, kwa mfano anasemaga yeye anapenda kunyandua pisi kali na hawez jificha kwa hilo.
tafadhali mkuu, na ww uliyesoma chuo cha maginiaz pale nyegezi unashindwa kuelewa maelezo ambayo yapo uchi kabisa?Sijayaelewa vyema Maelezo yako haya hasa baada ya kujibu....sijui mkuu.....