Mashabiki wote wa kundi la sanaa la Mkojani bin Daluweshi (Mkojani Gang) tukutane hapa

Mashabiki wote wa kundi la sanaa la Mkojani bin Daluweshi (Mkojani Gang) tukutane hapa

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Uzi mzuri sana kwa ajili ya kupeana updates za kazi kutoka kwenye kundi la Abdallah Nzuda na mwenzie Amini Samofi

Hapa tutajadili michezo yao iliyotuvutia zaidi, matukio pamoja na wasifu wa wahusika wengine wengi

Mkojani Gang karibuni tuuporomoshe uzi

Kwa kuanzia:
Kuna yule jamaa aliyeigiza kama baba wa Jamila aliyekuwa na pete ya ajabu, Haji Salumu. Hivi yule jamaa hana undugu na Kamugisha Rwiza kweli? Mbona wanaelekea kufanana hata kimatendo?

Uzi mzuri sana huu
 
Uzi mzuri sana kwa ajili ya kupeana updates za kazi kutoka kwenye kundi la Abdallah Nzuda na mwenzie Amini Samofi

Hapa tutajadili michezo yao iliyotuvutia zaidi, matukio pamoja na wasifu wa wahusika wengine wengi

Mkojani Gang karibuni tuuporomoshe uzi

Kwa kuanzia:
Kuna yule jamaa aliyeigiza kama baba wa Jamila aliyekuwa na pete ya ajabu, Haji Salumu. Hivi yule jamaa hana undugu na Kamugisha Rwiza kweli? Mbona wanaelekea kufanana hata kimatendo?

Uzi mzuri sana huu
Nadhani mkojani ndiyo best actor kwa sasa hapa Tanzania. Anachonifurahisha kabeba uhusika wa tamaduni za ki pwani. Hongera zake hongera sana baba JK maana bila Dkt Kikwete kuwekeza kwa wasanii wasingetoka.
 
Namuelewa kazi zake ila simfuatilii sana nikikutana nayo muvi yake naweza kutazama haiboi sana
 
"Kenge wewe.... Hunijuii"
Mkojani gang ukitoa solo za joti, mpoki nawwakubali sana wadau, simple comedy but laughable. 😀
 
Ni aibu sana kwa mwanaume kufurahia na kuchekeshwa na wakina mkojani. Hayo masuala waachieni wanawake, wadada wa kazi na watoto nyumbani.
 
Uzi mzuri sana kwa ajili ya kupeana updates za kazi kutoka kwenye kundi la Abdallah Nzuda na mwenzie Amini Samofi

Hapa tutajadili michezo yao iliyotuvutia zaidi, matukio pamoja na wasifu wa wahusika wengine wengi

Mkojani Gang karibuni tuuporomoshe uzi

Kwa kuanzia:
Kuna yule jamaa aliyeigiza kama baba wa Jamila aliyekuwa na pete ya ajabu, Haji Salumu. Hivi yule jamaa hana undugu na Kamugisha Rwiza kweli? Mbona wanaelekea kufanana hata kimatendo?

Uzi mzuri sana huu
Nilifikiri kuwa nimeona vyote kumbe bado maajabu yapo

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Huyo jamaa semuelewagi na acting zake hajawahi kunifurahisha nakutana na acting zake kwenye mabasi ninapokuwaga safarini mara nyingi naamua Kheri kulala kulipo kumuangalia .
Naona anaforce sana kuigiza simkubali kabisa
 
Back
Top Bottom