Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Lilikuwa suala la muda tu baada ya Bundi mzee kuwika katika uwanja wa Chamazi, klabu namba moja kwa masuala ya ushirikina Tanzania.
Daima mbele nyuma mwiko kuanza harakati za kuukimbia uwanja wao wa nyumbani ,Chamazi na kutaka kuja kuutumia uwanja wa KMC unaotumiwa na mahasimu wao wanaoongoza katika msimamo wa ligi kuu ya NBC- Tanzania, naizungumzia Simba Sc.
Je, kufungwa na Azam na Tabora United ndio kunawafanya muukimbie uwanja au kuna sababu nyingine za kishirikina?
Daima mbele nyuma mwiko kuanza harakati za kuukimbia uwanja wao wa nyumbani ,Chamazi na kutaka kuja kuutumia uwanja wa KMC unaotumiwa na mahasimu wao wanaoongoza katika msimamo wa ligi kuu ya NBC- Tanzania, naizungumzia Simba Sc.
Je, kufungwa na Azam na Tabora United ndio kunawafanya muukimbie uwanja au kuna sababu nyingine za kishirikina?