Mashabiki zangu wa Chelsea tupo tiari kupokea anguko letu kwa mwenendo huu?

Mashabiki zangu wa Chelsea tupo tiari kupokea anguko letu kwa mwenendo huu?

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Naam uzi huu ni kwa mashabiki wenzangu wa chelsea.

Kutokana na vikwazo iliyowekewa klabu na serikali ya uingereza, inaonekana kuna nafasi kubwa kwamba klabu yetu pendwa inaenda kupata anguko kubwa sana.

Hakuna hela inayoingia kwenye klabu kwa sasa kwaio kutokana na matumizi makubwa ya klabu pamoja na mishahara kuna wasiwasi klabu isiweze hata kumaliza msimu kama mgogoro huu hautomalizika mapema na klabu kupata mmiliki mpya.

Je mashabiki wenzangu mpo tiari kupokea anguko la timu yetu ambayo ndo bora duniani kwa sasa.?

NB; mimi binafsi nitaendelea kuishabikia hatakama ikienda championship
 
pengine baada ya miaka mitano tusiisikie hii club kabisaa...
 
Chelsea kabla ya abramovich ilikuwa ni timu ya kati pale uingereza kama unavyoiona tottenham,everton na newcastle. Tatizo vijana wengi wameanza kuishabikia hii timu ilivyochukuliwa na Roman...ila mimi binafsi niliipenda chelsea toka wanacheza kila ruud gulit na gianluca vialli,g zola,mark hughes n.k ilikuwa ni timu ya kawaida tu isiyo na ndoto hata ys kupata ubingwa zaidi ilikuwa ina aim kumaliza ligi kwenye nafasi 8 za juu
 
Back
Top Bottom