Sijaona mchezaji wa yanga aliyetoka umbali mrefu kuja kwenye mechi hii...
Imahine Simba ina mashabiki mpaka nje ya nchi na wamekuja kwa mapenzi yao kwa kukwea mwewe kwa nauli zao kuja kutazama kandanda safi halafu dakika ya mwisho tff wanakuja kufakisha