njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Who caresAnasema yeye hayamuhusu mnalalamika sana ACHA AKAE KIMYA ,kwenye kava aliweka picha ya mwalimu nyerere hali iliyomuudhi sana mtoto wa mwalimu akamuamuru atoe hiyo picha kwenye cover maana baba yake alikuwa hakai kimya kwenye MAOVU
View attachment 1806054View attachment 1806055View attachment 1806056View attachment 1806057
You cared enough to peruse this thread and had audacity to reply, take a chill pill ,relax chillax sit back and enjoy show ya kusaga kunguniWho cares
Who caresyou cared enough to peruse this thread and had audacity to reply, take a chill pill ,relax chillax sit back and enjoy show ya kusaga kunguni
Msagie kunguni mkuu saga saga nakuaminia
Huyu alikuwa kachanganyikiwa, Nyerere ni baba wa taifa, sio baba yake peke yake
Ukichaa ulikuwa unamnyemelea ,Nyerere ni baba wa taifa, sio baba yao peke yao