mashairi ya mwanakijiji yako wapi??

mashairi ya mwanakijiji yako wapi??

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
mi ni mmoja wa watu ambao unaweza kuwaita big fans wa mwanakiji kwa upande wa mashairi,tatizo ni kwamba sijui ni wapi naweza kupata collection nzima ya mashairi ya mwanakijiji,kitabu hivi au blog au chochote kile chenye kuhifadhi mashairi yake,
kuna baadhi ya mashairi niliyasoma wakati ule wa jamboforum siyaoni na nayatafuta bila mafanikio,so mwanakijiji kama unaweza kunisaidia
ningependa niwe na collection ya mashairi yako,kuna mashairi kama matatu ya zamani sijui nitayaona wapi??????
 
mi ni mmoja wa watu ambao unaweza kuwaita big fans wa mwanakiji kwa upande wa mashairi,tatizo ni kwamba sijui ni wapi naweza kupata collection nzima ya mashairi ya mwanakijiji,kitabu hivi au blog au chochote kile chenye kuhifadhi mashairi yake,
kuna baadhi ya mashairi niliyasoma wakati ule wa jamboforum siyaoni na nayatafuta bila mafanikio,so mwanakijiji kama unaweza kunisaidia
ningependa niwe na collection ya mashairi yako,kuna mashairi kama matatu ya zamani sijui nitayaona wapi??????

How much are you willing 2 pay ?
 
mi ni mmoja wa watu ambao unaweza kuwaita big fans wa mwanakiji kwa upande wa mashairi,tatizo ni kwamba sijui ni wapi naweza kupata collection nzima ya mashairi ya mwanakijiji,kitabu hivi au blog au chochote kile chenye kuhifadhi mashairi yake,
kuna baadhi ya mashairi niliyasoma wakati ule wa jamboforum siyaoni na nayatafuta bila mafanikio,so mwanakijiji kama unaweza kunisaidia
ningependa niwe na collection ya mashairi yako,kuna mashairi kama matatu ya zamani sijui nitayaona wapi??????

asante kwa kuulizia; niko katika kuandaa vitabu na kimojawapo ni hicho cha "diwani ya mwanakijiji".. subira ndugu yangu.
 
Ombi langu kwako mwanakiji tafadhali yale mashairi yenye lugha kali
usiyaache na naomba uyatoe vilevile bila ku edit kitu.............
 
asante kwa kuulizia; niko katika kuandaa vitabu na kimojawapo ni hicho cha "diwani ya mwanakijiji".. subira ndugu yangu.
__________________

Naomba hicho kitabu kikiwa dukani tupeane taarifa. Mi ni wa Kwanza kukinunua.

nakupongeza sana.
 
Back
Top Bottom