K kitiheka Ngomanzito New Member Joined Dec 16, 2011 Posts 1 Reaction score 0 Dec 19, 2011 #1 nina wasiwasi na elimu ya Tanzania, naimeshindwa kujua kabisa hivi elimu yetu inapanda au inashuka?, Matokeo yote yana utata mtupu au ndo wanajaribu kuingiza siasa katika taluuma na kama iko hivi basi nchi yetu tunaipeleka pabaya.
nina wasiwasi na elimu ya Tanzania, naimeshindwa kujua kabisa hivi elimu yetu inapanda au inashuka?, Matokeo yote yana utata mtupu au ndo wanajaribu kuingiza siasa katika taluuma na kama iko hivi basi nchi yetu tunaipeleka pabaya.
Mzee JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,602 Reaction score 5,809 Dec 19, 2011 #2 Watoto wenyewe ni vilaza. Inabidi serikali iwabebe hivyohivyo!