Na ndo alimpaga miwaya ....!!!Mwenzake Rashida wanjara naskia hoi uko
Wee acha kabisa, bongo fleva wanabadilishana TU virusi.Na ndo alimpaga miwaya ....!!!
Enzi hyo akachanganyikiwa baba Lissa
Wee acha kabisa, bongo fleva wanabadilishana TU virusi.
Ata sepenga akisalimika sijui[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza kua mzima ila mwamba alimzimikiaga sana Wanjara sanaaa!mpk alitakaga kuwehuka!Mama Lissa ni mvumilivu tu ameolewq kulinda heshima alimtelekezaga enzi yuko juu !!Wee acha kabisa, bongo fleva wanabadilishana TU virusi.
Ata sepenga akisalimika sijui[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ile wanaita Ustaa ni mzigo wa misumariAnaweza kua mzima ila mwamba alimzimikiaga sana Wanjara sanaaa!mpk alitakaga kuwehuka!Mama Lissa ni mvumilivu tu ameolewq kulinda heshima alimtelekezaga enzi yuko juu !!
Ukimuona huyo Wanjara sasa sura yake na Mama Lissa kushoto na kulia!ila prof alikufa na kuoza
Kabisaa yaani!!!
"Salamu ziende kwa Wanjara, Don Masha Kitasa kwenye BUNYERO . Waambie Simba kachalala anataka msambwanda wa buku jero."Anaweza kua mzima ila mwamba alimzimikiaga sana Wanjara sanaaa!mpk alitakaga kuwehuka!Mama Lissa ni mvumilivu tu ameolewq kulinda heshima alimtelekezaga enzi yuko juu !!
Ukimuona huyo Wanjara sasa sura yake na Mama Lissa kushoto na kulia!ila prof alikufa na kuoza
Ai...ainamaaa!!!"Salamu ziende kwa Wanjara, Don Masha Kitasa kwenye BUNYERO . Waambie Simba kachalala anataka msambwanda wa buku jero."
Aisee!
Usicheze na "Kipira" kaka..yaani sio poa,ngoma ikitoka ina mafuta hakuna tope..halafu mtoto fundi sasa...Anaweza kua mzima ila mwamba alimzimikiaga sana Wanjara sanaaa!mpk alitakaga kuwehuka!Mama Lissa ni mvumilivu tu ameolewq kulinda heshima alimtelekezaga enzi yuko juu !!
Ukimuona huyo Wanjara sasa sura yake na Mama Lissa kushoto na kulia!ila prof alikufa na kuoza
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwa ufundi hapo yasemekana ni fundi haswaaa100% yaani balaa na nusu yake!Usicheze na "Kipira" kaka..yaani sio poa,ngoma ikitoka ina mafuta hakuna tope..halafu mtoto fundi sasa...