Mashamba ya kukodi Sumbawanga

Mashamba ya kukodi Sumbawanga

Napenda sana Kilimo na nina hakika miaka michache mbele ntahamia kijijini kulima. Boss mbna hutuonei Huruma Watanzania wenzio wenye Mapenzi na Kilimo? Punguza kidogo Bei ya kukodisha walau nije kulima Eka 20.
 
100,000 ni ndefu mkuu hebu punguza tuje tuangalie fursa hiyo. Na ni Sumbawanga sehem gani?
 
Kuna mashamba yanakodishwa Sumbawanga vijijini yanafaa kwa kilimo hasa cha mahindi. Mvua ni za uhakika . Matayarisho ndio yanaanza sasahivi mwezi wa kumi. Garama ni laki moja kwa ekari moja. 071654 8250

Hiyo laki 1 ni gharama ya ardhi pekee au inajumuisha na kusafisha shamba?

Una picha za hayo maeneo uweke hapa?
 
Back
Top Bottom