Hekari 50 zinapatikana? Au mnataka mteja moja!? VP umeme na maji hapo jirani!?Maahamba ktk sehemu maeneo ya Kibaha Misugusugu, bei milioni 7 kwa hekari moja maongezi yapo, Hekari Mia zinapatikana, karibuni wadau PM kwa maelezo zaidi Kama upo na interest
Misugusugu upande UPI ukiwa unatoka DSM. Ni umbali gani toka Morogoro Rd. Hebu weka details za kutosha.Maahamba ktk sehemu maeneo ya Kibaha Misugusugu, bei milioni 7 kwa hekari moja maongezi yapo, Hekari Mia zinapatikana, karibuni wadau PM kwa maelezo zaidi Kama upo na interest
PM naingiaje tuongee??Maahamba ktk sehemu maeneo ya Kibaha Misugusugu, bei milioni 7 kwa hekari moja maongezi yapo, Hekari Mia zinapatikana, karibuni wadau PM kwa maelezo zaidi Kama upo na interest
Mkuu Mbona PM yangu hujibu, weak mamba ya simu mkuu nakutafuta!MASHAMBA BADO YAPO WAKUU KARIBUNI