VKP Investment for youth ni taasisi inayojishughulisha na miradi mbalimbali ya ARDHI ikiwemo mashamba na viwanja vilivyo sehemu mbali mbali Tanzania, ikilenga kumilikisha watanzania Ardhi kupitia miradi yake na taratibu zihusuzo Ardhi Tanzania.
1. Kwa sasa wanauza 700,000 per acre kwa mashamba yalioko Bagamoyo na 400,000 per acre kwa mashamba yalioko Bungu – Rufiji.
2. Wanakopesha bila riba (lipa 30% ya bei ya shamba/kiwanja na kamilisha ndani ya miezi 7 kiasi kilichobaki.)
3. Wanakodisha mashamba kwa bei nafuu. 50,000(elfu hamsini) per acre kwa msimu, ambapo msimu ni miezi 8.
Ofisi zetu zipo Mbezi tankibovu, jengo la The Future Resort.
Facebook: vkp investment