Strong ladg
Senior Member
- Jul 15, 2021
- 170
- 445
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nakumbuka enzi hizo nikiwa mdogo miaka ya 2000+ nilikuwa napenda sana kusikiliza BBC yaani nilikuwa sipitwi. Moja kati ya habari nazozikumbuka ni watu kuvaa mabomu kujitoa muhanga sijui sokoni, kwenye kituo cha basi n.k .
Nakumbuka hizo habari zilikuwa zinatoka sana sana Afghanistan, Iraq na Pakistán.
Baada ya kuja kwa mitandao ya kijamii, sasahivi hatutegemei BBC tena kwa habari .Lakini kutokana na jinsi haya matukio ya kujitoa muhanga yalivyokuwa yanatangazwa na BBC karibia kila siku nilitegemea media nyingine zilizopo ziendelee kutangaza kama kweli yapo.
Cha kushangaza,siyasikii tena hadi najiuliza au walipokuwa wanagawa mabomu ya kujitoa muhanga hawagawi tena?
Lakini nikawaza pia au ni propaganda nyingine za BBC zilizokuwa zinajazwa vichwani mwetu kabla ya ujio wa mitandao ya kijamii?
NB: Si kwa lengo la kukashifu Imani ya mtu mwingine maana kuna watu wataanza kushambulia dini za watu.
Nakumbuka enzi hizo nikiwa mdogo miaka ya 2000+ nilikuwa napenda sana kusikiliza BBC yaani nilikuwa sipitwi. Moja kati ya habari nazozikumbuka ni watu kuvaa mabomu kujitoa muhanga sijui sokoni, kwenye kituo cha basi n.k .
Nakumbuka hizo habari zilikuwa zinatoka sana sana Afghanistan, Iraq na Pakistán.
Baada ya kuja kwa mitandao ya kijamii, sasahivi hatutegemei BBC tena kwa habari .Lakini kutokana na jinsi haya matukio ya kujitoa muhanga yalivyokuwa yanatangazwa na BBC karibia kila siku nilitegemea media nyingine zilizopo ziendelee kutangaza kama kweli yapo.
Cha kushangaza,siyasikii tena hadi najiuliza au walipokuwa wanagawa mabomu ya kujitoa muhanga hawagawi tena?
Lakini nikawaza pia au ni propaganda nyingine za BBC zilizokuwa zinajazwa vichwani mwetu kabla ya ujio wa mitandao ya kijamii?
NB: Si kwa lengo la kukashifu Imani ya mtu mwingine maana kuna watu wataanza kushambulia dini za watu.