mwanausangi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2021
- 548
- 608
ISIS wamekiri kuhuska na shambulio ilo, ila we ambae hujui hata kushika rungu unasema wanasingiziwa.M7 ni muhuni tu wana usalama wa uganda wanapanga mshambulio wenyewe kwa mipango ya pesa na kukamata upizani wao pamoja na waislamu, wewe sikiliza wa bunge wa upizani wanavo sema, yaani mtu anajilipua tayari unajina lake na kitambulisho chake, wale ni wa piga pesa hamna lolote.
Fuatilia vizuri acha kulishwa matanga pori mkuu, hiyo sio website ya Isis, hiyo bomu ni binu za wanausalama wa M7 mbona waganda wote wamesha elewa sasa.ISIS wamekiri kuhuska na shambulio ilo, ila we ambae hujui hata kushika rungu unasema wanasingiziwa.
Isis claims responsibility for Uganda suicide bombings
The explosions caused chaos in the capital Kampala as terrified residents fled the city’s centre.www.scmp.com
HAMTOKUWA RADHI HADI TUFUATE DINI YENU.
SURAT 9:19 MABULA
Uganda hakuna Ugaidi Ule uhuni na utopolo wa M7 kutaka kuchulia advantage kukamata mahasimu wake kwa kisingizio cha UgaidiSalaam wanajamvi,
Kutokana na mashambulio mfululizo ya magaidi nchi jirani ya Uganda kwa Museven, Tanzania tuna jambo la kujifunza kama nchi upande wa usalama, naishauri serikali kupitia vyombo vyake vyote vya ulinzi na usalama kuongeza intelijensia yao na kuhakikisha vitendo hvo havitokei nchini kwetu maana wote tunajua gaidi hana alama!!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!MUNGU WABARIKI WANANCHI WAKE.
Hao alishabaab unaona wapi wamekiri? Hizo wabsit Zinamilikiwa na wahuni pale Murago Entebe.ISIS wamekiri kuhuska na shambulio ilo, ila we ambae hujui hata kushika rungu unasema wanasingiziwa.
Isis claims responsibility for Uganda suicide bombings
The explosions caused chaos in the capital Kampala as terrified residents fled the city’s centre.www.scmp.com
HAMTOKUWA RADHI HADI TUFUATE DINI YENU.
SURAT 9:19 MABULA
Salaam wanajamvi,
Kutokana na mashambulio mfululizo ya magaidi nchi jirani ya Uganda kwa Museven, Tanzania tuna jambo la kujifunza kama nchi upande wa usalama, naishauri serikali kupitia vyombo vyake vyote vya ulinzi na usalama kuongeza intelijensia yao na kuhakikisha vitendo hvo havitokei nchini kwetu maana wote tunajua gaidi hana alama!!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!MUNGU WABARIKI WANANCHI WAKE.
ni wapi nimeongelea Alshabab ama katika hiyo link umeona kuna jina/neno Alshabab?.Hao alishabaab unaona wapi wamekiri? Hizo wabsit Zinamilikiwa na wahuni pale Murago Entebe.
ni wapi nimeongelea Alshabab ama katika hiyo link umeona kuna jina/neno Alshabab?.Hao alishabaab unaona wapi wamekiri? Hizo wabsit Zinamilikiwa na wahuni pale Murago Entebe.
Sisi magaidi wetu ni Mbowe na Adamoo na tumekwisha wadhibiti , Hakuna tishio tenaSalaam wanajamvi,
Kutokana na mashambulio mfululizo ya magaidi nchi jirani ya Uganda kwa Museven, Tanzania tuna jambo la kujifunza kama nchi upande wa usalama, naishauri serikali kupitia vyombo vyake vyote vya ulinzi na usalama kuongeza intelijensia yao na kuhakikisha vitendo hvo havitokei nchini kwetu maana wote tunajua gaidi hana alama!!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!MUNGU WABARIKI WANANCHI WAKE.
Osama bin Laden ISIS, Al Shababu na wengine kumbe hawako radhi kufuata mila za dini nyingine? Taliban je?ISIS wamekiri kuhuska na shambulio ilo, ila we ambae hujui hata kushika rungu unasema wanasingiziwa.
Isis claims responsibility for Uganda suicide bombings
The explosions caused chaos in the capital Kampala as terrified residents fled the city’s centre.www.scmp.com
HAMTOKUWA RADHI HADI TUFUATE DINI YENU.
SURAT 9:19 MABULA
duh kaka usiliombee hili litokee aiseeeHalafu hatuna la kujifunza ndio maana tumeruhusu jeshi la Rwanda likamsaidie jirani yetu msumbiji, ambapo watalipwa mabilioni ya pesa na msumbiji kwa kulinda amani huko na watafanya ujasusi murua upande wetu huku sisi tunacheza ngoma kushangilia halafu magaidi wa msumbiji watakuja kujificha kwetu
Nadhani unapaswa kuweka hapa icho unachodai mimi sijakifuatiliana, sio kunitaka nifuatilie tu.Fuatilia vizuri acha kulishwa matanga pori mkuu, hiyo sio website ya Isis, hiyo bomu ni binu za wanausalama wa M7 mbona waganda wote wamesha elewa sasa.