Mashambulizi yatokea karibu na uwanja wa ndege wa Beirut dakika chache kabla ya ndege kuwasili

Jackson94

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2016
Posts
492
Reaction score
560
Maelezo ya video,Tazama: Mashambulizi ya anga karibu na uwanja wa ndege wa Beirut
Israel imefanya mashambulizi zaidi ya anga huko Beirut na Lebanon usiku kucha, yakilenga matawi ya benki ya AQAH.

Shirika la habari la serikali ya Lebanon NNA liliripoti shambulizi kwenye tawi la benki hiyo karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa wa Rafic Hariri mjini Beirut.



Hadi shambulizi lilipotokea mwendo wa saa 23:45 kwa saa za eneo, uwanja wa ndege ulikuwa ukifanya kazi kama kawaida.

Ndege kutoka Dubai, iliyopaswa kutua saa 23:59, ilichelewa kuwasili kwa dakika 17.
 
Maelezo ya video,Tazama: Mashambulizi ya anga karibu na uwanja wa ndege wa Beirut
Israel imefanya mashambulizi zaidi ya anga huko Beirut na Lebanon usiku kucha, yakilenga matawi ya benki ya AQAH.

S
Kwa hiyo unataka kusema Israel ameshaanza kuyumba kiuchumi kiasi akaenda kupiga bank ili kupora apate za kuendeshea vita?

Kwanini matawi ya bank,hiyo bank nani mmiliki wake?inamilikiwa na magaidi au pesa za kufadhili ugaidi zinapitishwa humo?maswali ni mengi sana.
 
Hapo sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…