Rapture Man
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 439
- 145
Hello Wadau, niko kijijini, hapa kupata petroli ni shida. Natafakari kufungua duka la kuuza petroli kwa rejareja, sio kufungua petrol station. Naomba mnifahamishe sheria na taratibu zinasemaje. Mfano, bei itapangwa na ewura au nitajipangia mwenyewe? Leseni nitapata kivipi au nakata leseni ya kawaida kama biashara zingine? Je kuna standard zozote za ku-store hiyo petrol na kupima volume during retail sale au naweza tumia chupa za uhai za lita 1 kuwapimia wateja? TRA sio issue, kodi ya mapato ni lazima kulipa. Asanteni. Wenu Mchakalikaji.