Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lolz..Nakubali nimepitwa na wakati!:rain:masharobaro ni mabrazamen,wasafi wanapozi wanapenda madem wazuri wanajipodoa na raisi wao anaitwa BoB Junior anaown Sharobaro Records...na kinyume chake kuna masharouharoo hao kiongozi wao ni yusuph Mlela Yule actor wa kibongo.
Source:Hemed (Actor wa kibongo na contestant wa Tusker project Fame)
Lolz..Nakubali nimepitwa na wakati!:rain:
Na hao wa kinyume una maana gani?..elezea wao wana features gani?
masharobaro ni mabrazamen,wasafi wanapozi wanapenda madem wazuri wanajipodoa na raisi wao anaitwa BoB Junior anaown Sharobaro Records...na kinyume chake kuna masharouharoo hao kiongozi wao ni yusuph Mlela Yule actor wa kibongo.
Source:Hemed (Actor wa kibongo na contestant wa Tusker project Fame)
Lolz..Nakubali nimepitwa na wakati!:rain:
mashabaro ni wale wanaofanywa kinyume na maumbile....masharobaro ni mabrazamen,wasafi wanapozi wanapenda madem wazuri wanajipodoa na raisi wao anaitwa BoB Junior anaown Sharobaro Records...na kinyume chake kuna masharouharoo hao kiongozi wao ni yusuph Mlela Yule actor wa kibongo.
Source:Hemed (Actor wa kibongo na contestant wa Tusker project Fame)
mashabaro ni wale wanaofanywa kinyume na maumbile....
unamshangaa Membe,tushawahi kuwa na Rais Sharobaro kama si sharouharo:rain:Ahsanteni kwa ufafanuzi wa usharaboro ! sasa naomba kuuliza juzi jumapili nilmwona Wazir Membe kwenye kipindi cha matukio akiwa amevaa cheni kubwa kama kamba ya kufungia mbuzi kwetu Kinampanda,sasa najiuliza! hv nao ni ushalobaro!
Jamani hili jina lilianzia wapi? au lilianzishwaje? kwa mfano Dar es Salaam inatokana na Bandari ya Salama. sasa hili la Sharobaro chimbuko lake ni nini hasa! au limetokana na kabila gani, kwani liko kwenye kamusi?