Wana JF,
Naomba msaada wa mtu anayeweza kuniambia mtu anayemshonea mashati Kikwete-sijui niyaite ya kitanzania au ya kia Africa? Kuna mtu anayataka na ameyazimia nimeshindwa kujua pa kuyapata mwenye uwezo wa kumjua mtengenezaji au mtu mwingine mwenye hivyo vitambaa na quality ile au inayokaribia anijuze.
si mumuulize anazipata wapi?
Nakushukuru sana huo msikiti ni karibu na maeneo yapi Karibu na Makaburini au A au b,. natafuta mahali pa kuanzia,natanguliza shukurani.hayoo mashati yapo Binti afrika, duka lipo kndoni karibu na msikiti wa mtambaniiii