"mashauri magumu ndiyo yanafika kwangu"

"mashauri magumu ndiyo yanafika kwangu"

Kwame Nkrumah

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2008
Posts
886
Reaction score
376
Wadau nafikiri baadhi yenu leo mmesikiliza press conference ya Obama,kuna issue moja najaribu kulinganisha na rais wetu. Alipoulizwa swali kuhusu Stem Cell Research alijibu kwamba," angalia, hili si jambo jepesi, ni MAAMUZI MAGUMU TU ndiyo yanaingia ofisini kwangu, na inabidi nitafute ufumbuzi wake" - [ tafsiri isiyo rasmi]-
Hebu sasa tuaangalie maamuzi ya Mkulu
- Aamuru watu waruhusiwe kupunga upepo beach.
- Aamuru polisi wakamate wauaji wa albino [ IGP yupo, Mkuu wa mkoa yupo, mkuu wa wilaya yupo n.k ]
- Aamuru makarani wa TISCAN wasipokee rushwa.
- Asikitishwa na wizi wa mafuta ya transfoma.

Mahoteli ya mabilioni ya shilingi yameungua Bagamoyo, tutasikia ameamuru Gari la zimamoto linunuliwe haraka sana huko Bagomoyo !!
Hivi ni viongozi wanamdharau mkuu wa nchi au ni yeye amekosa kazi ya kufanya ? Ni kweli haya ni maamuzi ambayo yameshindikana ngazi za chini? Semina za Ngurdoto zilisaidia nini?
 
Wadau nafikiri baadhi yenu leo mmesikiliza press conference ya Obama,kuna issue moja najaribu kulinganisha na rais wetu. Alipoulizwa swali kuhusu Stem Cell Research alijibu kwamba," angalia, hili si jambo jepesi, ni MAAMUZI MAGUMU TU ndiyo yanaingia ofisini kwangu, na inabidi nitafute ufumbuzi wake" - [ tafsiri isiyo rasmi]-
Hebu sasa tuaangalie maamuzi ya Mkulu
- Aamuru watu waruhusiwe kupunga upepo beach.
- Aamuru polisi wakamate wauaji wa albino [ IGP yupo, Mkuu wa mkoa yupo, mkuu wa wilaya yupo n.k ]
- Aamuru makarani wa TISCAN wasipokee rushwa.
- Asikitishwa na wizi wa mafuta ya transfoma.

Mahoteli ya mabilioni ya shilingi yameungua Bagamoyo, tutasikia ameamuru Gari la zimamoto linunuliwe haraka sana huko Bagomoyo !!
Hivi ni viongozi wanamdharau mkuu wa nchi au ni yeye amekosa kazi ya kufanya ? Ni kweli haya ni maamuzi ambayo yameshindikana ngazi za chini? Semina za Ngurdoto zilisaidia nini?

heri mimi sijasema
ila inatia kifuchefuche kwa staili hii ya kutoa toa amri kila kukicha.
Nchi inaendeshwa kwa shinikizo naw
 
The Tanzanian presidency needs a job description to be used together with the hole Bible / Quran to swear in presidents. The document will make the evaluation of the office holders perfomance easy and persecution if he/she does not fulfill their end of the bargain even easier.
 
Wewe jamaa you must be genious kuona na kuleta mchanganyuo huu. Kwa kweli kabisa hiki ndicho kitu ambacho mimi nimeshindwa kukielewa hapa nchini. Watendaji wa JK wanafanya nini?? na kama hawafanyi nini kwanini waendelee kuwapo. Stupid stupid stupid, sitaki kabisa kuona raisa anaongoza nchi kama duka la sukari na nyanya.
 
hatuhitaji hata waziri kwani jk ni mambo yote.na yote yamemshinda. Yuko bize na totozi.na wasaidizi wake wako bize kutuibia mmmmmh yangu macho
 
The Tanzanian presidency needs a job description to be used together with the hole Bible / Quran to swear in presidents. The document will make the evaluation of the office holders perfomance easy and persecution if he/she does not fulfill their end of the bargain even easier.

Issue ya job perfomance and accountability iliwahi kujadiliwa sijui iliishia wapi, kama kawaida yetu imeishazimwa. Inaonekana mpaka Rais aseme tena. Hakuna kupima utendaji wa kazi kabisa, Ni viongozi wachache sana ambao tunaweza kuona manufaa ya unongozi wao.
 
Wewe jamaa you must be genious kuona na kuleta mchanganyuo huu. Kwa kweli kabisa hiki ndicho kitu ambacho mimi nimeshindwa kukielewa hapa nchini. Watendaji wa JK wanafanya nini?? na kama hawafanyi nini kwanini waendelee kuwapo. Stupid stupid stupid, sitaki kabisa kuona raisa anaongoza nchi kama duka la sukari na nyanya.

Yes indeed, stupidity on a grand scale and stage.
 
Hata TAKUKURU inasubiria kibali/amri ya rais kuchukua hatua dhidi ya waheshimiwa waliovunja sheria.
 
Back
Top Bottom