Unawafahamu vizuri Anti Terrorism Police Unit, yaani ATPU wanao'operate' kule Pwani? Hapo kuna Shekhe atakabwa mapum$u hadi atoe chozi kwenye jicho moja tu huku anapuliza mdomoni ni kama anachapilia mihogo moto. 🙂Kha! Subiri waje.....
Lakini kwa kweli kama kuna watoto wa nchi za nje na hawana vibali, hiyo ni wazi kuna walakini, hii ichunguzwe bila kuingiliwa.
Huyo sheikh tayari ameanza kuuliza kama ni kosa kufundisha koran, kwani mbona madrassa mengine hawajakamatwa iwe hiyo moja tu, yeye aliambiwa wamekamatwa kisa wanafundisha koran? Tayari ameanza kuingiza siasa za kuleta hisia za kidini.
Dola ifanye kazi yake bila kuingiliwa, lakini na serikali isidhulumu, watend
Mbona Mwingira kwenye kashfa yake anatajwa kama Askofu Na hamna anayelaumu? Sheikh akifanya ugaidi usheikh haumuishi, ataendelea kuwa sheikh gaidiUsijataje wadhifa au nafasi ya mtuhumiwa! Hawa ni watuhumiwa sawa na watuhumiwa wengine tu! Haijalishi kama ni mashehe au maaskofu!
Usijataje wadhifa au nafasi ya mtuhumiwa! Hawa ni watuhumiwa sawa na watuhumiwa wengine tu! Haijalishi kama ni mashehe au maaskofu!
Mkuu,hao ni magaidi walikuwa wanazalishwa hapo,muwe makini sana,hii dini ya kiislamu,taabu sana.ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya waislamu ni magaidi ama wanaamini ugaidi.....how comes 100% of terrorists come from majority Islamic nations like Nigeria, egypt, Somalia, Pakistan, Afghanistan, Iraq etc? serikali isidhubutu kuwaachilia hawa wakora...hao na shetani hamna tofauti...kutumia dini kutekeleza ugaidi ni jambo la kusikitisha sana
trueMkuu,hao ni magaidi walikuwa wanazalishwa hapo,muwe makini sana,hii dini ya kiislamu,taabu sana.
Chuki yako dhidi ya uislamu haipimiki...ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya waislamu ni magaidi ama wanaamini ugaidi.....how comes 100% of terrorists come from majority Islamic nations like Nigeria, egypt, Somalia, Pakistan, Afghanistan, Iraq etc? serikali isidhubutu kuwaachilia hawa wakora...hao na shetani hamna tofauti...kutumia dini kutekeleza ugaidi ni jambo la kusikitisha sana
Tatizo si dini ya Kiislamu mkuu, najua ni ngumu kunielewa ila tatizo si uislamu... Uislamu uko dhidi ya UgaidiMkuu,hao ni magaidi walikuwa wanazalishwa hapo,muwe makini sana,hii dini ya kiislamu,taabu sana.
But you call people'kafir' Y.prove that Islam is not terrorism cultTatizo si dini ya Kiislamu mkuu, najua ni ngumu kunielewa ila tatizo si uislamu... Uislamu uko dhidi ya Ugaidi
Am worried with thisTatizo si dini ya Kiislamu mkuu, najua ni ngumu kunielewa ila tatizo si uislamu... Uislamu uko dhidi ya Ugaidi
Kwanini unasema "au maaskofu" wakati hao ni Mashekhe?Usijataje wadhifa au nafasi ya mtuhumiwa! Hawa ni watuhumiwa sawa na watuhumiwa wengine tu! Haijalishi kama ni mashehe au maaskofu!
theAm worried with this
The greatest enemy of Islam is Saudis egged on by americaAm worried with this